Madhara ya 'Mlango wa dharura' ni yapi?

Ibambasi

JF-Expert Member
Jul 25, 2007
9,277
4,682

Jamani mi naomba kueleweshwa madhara ya kiafya/kisaikolojia kuhusu watu (waume/wake) ambao kwao kutumia njia ya haja kubwa kwa mapenzi ni kawaida.Mfano nilipokuwa A-level miaka ya nyuma tulikuwa na bwana mmoja mabye kwake yeye kufanya mapenzi na mwanamke bila "kuchungulia huko" ilikuwa ni mwiko,na kwa kweli ilikuwa kama ameathirika kisaikolojia kwani kwake yeye akimuona mwanamke cha kwanza kumvutia ni makalio tu.Pia katika zile picha za ndugu yetu BRAZAMENI kuna wanawake ambao huwa wanaingiliwa na kinyume na maumbile na wanaume wenye "madudu" makubwa kweli kweli (mengine hata inch 9!!) na huonekana kufurahia kama sio maigizo tu.sasa wandugu madaktari hebu nifafanulieni matatizo ya kiafya/kimaumbile kwa washirika wan njia hii ya mapenzi na pili matatizo ya kisaikolojia kama yapo.
 
Duh! Mkuu hapa sijui nitheme????

No comment mpaka nipate majibu ya Doctor!! ila naskia mirija inaziba na kuzibua is so painful!!
 
I know a lot of people think its disgusting and on the other hand a lot of people are doing it but would never admit it. The only effect for me, I would say, its EXTREME PLEASURE.

Suala la msingi ni how you do it- If the 'screwer' anakuwa too rough, inaweza sababisha tearing of the anus wall ambayo ni very delicate. Tofauti na ngozi ya sehemu nyingine za mwili, huko kwenye rectum kunachukua muda mrefu kupona hasa kwa ambao sio wazoefu wa shughuli hiyo pevu na tukumbuke kwamba rectum ndio kama bomba la kutolea uchafu kwenye mwili wa binadamu na uchafu huu mara nyngine huwa na bacteria ambao huweza kusanyika kwenye vidonda vilivyosababishwa na michubuko na kusababisha madhara makubwa zaidi.Bacteria huweza kuzama kwenye surface ya rectum iliyochubuka na kucreate separate passage inayoitwa fistula, mara nyingi minor surgery itahitajika kustop usaha unaotoka.

When engaging in anal sex, gentleness and lots of lubricant are essential as well a healthy diet to make sure your rectum is clean. Kama hujaanza kufanya-usifanye kwa kuwa once you taste it its difficult to stop.Na kwa wanaume mliooa msiwafanyie wake zenu mchezo huu, haya ni mambo ya kufanya na vicheche tu.
 

Jamani mi naomba kueleweshwa madhara ya kiafya/kisaikolojia kuhusu watu (waume/wake) ambao kwao kutumia njia ya haja kubwa kwa mapenzi ni kawaida.Mfano nilipokuwa A-level miaka ya nyuma tulikuwa na bwana mmoja mabye kwake yeye kufanya mapenzi na mwanamke bila "kuchungulia huko" ilikuwa ni mwiko,na kwa kweli ilikuwa kama ameathirika kisaikolojia kwani kwake yeye akimuona mwanamke cha kwanza kumvutia ni makalio tu.Pia katika zile picha za ndugu yetu BRAZAMENI kuna wanawake ambao huwa wanaingiliwa na kinyume na maumbile na wanaume wenye "madudu" makubwa kweli kweli (mengine hata inch 9!!) na huonekana kufurahia kama sio maigizo tu.sasa wandugu madaktari hebu nifafanulieni matatizo ya kiafya/kimaumbile kwa washirika wan njia hii ya mapenzi na pili matatizo ya kisaikolojia kama yapo.

Madhara ya Liwati kwa jamii na mtu binafsi:

Kuharibu maumbile ya kibinadamu.
Kulawiti kunaharibu vijana, kwani ni matamanio yaliyovuka mipaka ya ubinadamu kwa uovu wake.

Kulawiti kunawadhalilisha wanaume na wanawake wanaotendwa hivyo.

Kulawiti kunawaharibu wanawake, hukimbia waume zao, huharibu njia za uzazi.

Kulawiti kunaharibu wanaume kupoteza dhamana yao ya kuwa na familia na kuzikimu ipasavyo.

Kulawiti kunapunguza kuzaliana, wanaume hukacha kuoa wanawake.

Kulawiti hueneza maradhi mabaya ya kaswende, kisonono, tego na sasa ukimwi. Na huyo mwenye kulawitiwa hufikwa na zahama kubwa.

Jaribu kubofya thread hii hapa chini labda unaweza kupata kuelimika ngaa kidogo:

http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=4301
 
[X-Paster ni kweli huu mchezo si mzuri kabisa na unamlemazamfanyaji na mfanywaji pia, ni addiction mbaya sana wengi wanakwama na huu mchezo mbaya sana,moja ya madharayake makubwa ni kupata ngoma ,kuharibika akili, kupotezanguvu za uume.Haka ni kamchezo kabaya sana tafadhalini ndugu zanguni msiingie kweny jambo hilo ni hatari sana,ukiisha uanza huwezi kuuacha kirafiki mpaka ufanyiwe madawa ya kiswahil ili uuache huo mchezo,hasawanawake ndio wanafanyiwasana madawa hayo,wenzetu wazungu wao wanatumia njia za operation kuondoa vijinyama fulani ambavyo huota kwenye rectum baada ya mtu kufanyamchezo huo kwa siku nyingi sana,tena nasikia hicho kitu ni kama kiarage kwa jina kinaitwa nukman, hicho kikimuota mtu inakuwani vita tupu lazima atafute mtu wa kukupoza maana nasikia huwa kina cheza utafikiri ni mdudu yumo mle ndani.Ninamfahamu dada mmoja alikuwanacho hicho kitu,akipandwa na ashki huyo dada anaweza kuuwa mtu anatoa mpaka fedha ili akafanyiwe huo mchezo, ni mchezo mchafu sana na unahatari zake nyingi sana,kaeni mbali na hako katendo
Zee kutoka Ujiji
Karenga
 
heshima mbele wakubwa.ni kweli suala la anal sex ni hatari sana kwa afya ya mwanamke na mwanaume.kuna jamaa hapo juu anadai "wahusika kabla ya kufanya lazima wahakikishe kuwa hiyo sehemu inakuwa safi na ikiwezekana lubricants must be used to moisten the anal walls"huu sio ushauri wa kidactari,nakuomba ndugu yangu usikubali kuingia katika lawama za kuipotosha jamii.haliyoyasema huyu mkuu ni sawa hila hii kauli yake niliyoiquote ndio ina utata kiutalaam.Hatari nyingine inayoweza kumpata muingiliwaji kinyume cha maumbile ni pamoja na kushindwa kufanya kazi kwa muscles ambazo kitaalam zinaitwa sphincter,ambazo ndio zinacontrol kufunga na kufunguka kwa anal cana,kumbukeni anal canal ina urefu wa 4cm in adult,wakati uume wa mtu waweza kuwa zaidi ya hapo so hii itapelekea uume kuingia katika rectum.napenda kusema anal sex ni hatari,hivyo kina epukeni jamani
 
Huu ni mchezo mchafu wa shetani. pamoja na kwamba kwa watu wengine huwa wanaita suna, na wanaruhusiwa kwa dini yao kuwa, pale mwanamke anapokuwa amelegea mbele kwasabab ya kuzaa, basi, anaweza akatumia mlango huo mchafu wa mavi. Kipindi cha sodoma na gomora haya mambo yalikuwepo, kwa wanawake na kwa wanaume. Ni chukizo kwa Mungi,ndio maana Mungu alichoma ile miji, hadi leo haipo duniani.(imefukiwa chini hadi sana pale middle east Near syria nk.). Kwa wanaume, ni dhahiri kuwa, shetani huwa amewaingia, na kuwapotosha, hivyo anawadharilisha na mwisho anawapeleka motoni pamoja nae kwa imani yangu. Hivyo nyote tambueni, ya kuwa, nyakati hizi zimeisha, uovu umefika to its infinite kabisa. na muda si mrefu, hii dunia itafika mwisho wake. wote wenye kiburi, mashoga, wasagaji, na wenye uovu wa kila aina, watalia na kusaga meno yao. Nafikiri, kupona ni pale tu mtu anapompokea Yesu Kristo katika maisha yake, ndo anaweza pona na huu mwisho mbaya. kama si hivyo, kufumba na kufumbua dunia itaisha na watu wanasaga meno. kwaheri.
 
Mod, vipi? Hii nini tena watu wanajadili huu upuuzi humu kweli??? Wote watu wazima hawa anaetaka akafanye huko sio kutuletea mijadala mufilisi kama hii...Mmeishiwa mada??
 
Tuone neno LAWITI linatokana na nini
Lawiti ni neno linalotokana na neno Liwato
Bila shaka neno maliwato linaeleweka. Suala la mapenzi lina mipaka na kama mtu anafikia hatua ya kujichafua kwa kujipakaza kinyesi huko maliwatoni ni aina fulani ya athari katika ubongo wake. Hivyo anahitaji ushauri nasaha.
Upo mfano fulani pale Ilala kuna jamaa alikuwa nakawaida ya kuchungilia majumbani mwa watu nyakati za usiku, lakini hata baada ya kuoa aliendeleza mchezo huo. Hebu ona jamaa alinunua hata ngazi kama zile za Tanesco akawa kila jioni anaondoka kwenda sehemu anayoona inahitaji kukwea ili aweze kuchungilia huko ghorofani nini watu wanachofanya wakati wa faragha, siku moja ngazi iliteleza akadondoka na kuvunjika miguu yote miwili. Ilikuwa niaaibu, lakini hii pia ni athari katika ubongo wake. Kwa hiyo hao wanaokanda kinyesi wana matatizo kiakili.
 
Baba yetu uliye MBINGUNI, jina lako litukuzwe ....Jamani someni kwenye BIBLIA muone ulawiti unavyolaaniwa; na wale wote WANAOLAWITIWA na WANAOLAWITI katu hawatauona ufalme wa Mbingu kama hawataungama na kuachana na dhambi hii. Amen
 
Kazi Kweli, Kana Ka Nsungu

Mambo Haya Kama Unashauri Mtu Mkewe Asimfanyie Iweje Ushauri Kwa Watoto Wa Wenzio?


Huu Mchezo Kutokana Na Yalioelezwa Ni Mbaya Na Haufai Uachwe.

Na Brazameni Ushauri Michezo Ya Aina Hii Usitume Tena
 
Madhara?
Hebu soma hapa.

Ukiona mtu anang'ang'ania, mwambie afanye experiment kama hii hapa chini,
Perhaps you should get your partner to push a large, hard vibrator up your bottom, just to see whether you find this great fun – or not!
 
Can anal sex actually give pleasure?
The pleasure of anal sex is derived from many things. Doing something "nasty" appeals to many people, especially about sex. Doing something different to spice up a sex life that has become something of a bore can be part of it. And the physical sensations available during anal sex are uniquely different from anything else. The rectum is lined with nerve endings, some of which signal the brain to 'reward' you with good feelings when stimulated. For men, the prostate gland can be a source of powerful pleasure. And for a thrusting penis, the ring of the anus can be a new and strong sensation to enjoy.

What do I need to have anal sex?
The most important pieces of advice anyone can give on anal sex are: lubricants, condoms, and patience. The most commonly available lubricant is KY-Jelly, a greaseless, odorless substance available at most drug stores. Better lubricants include Astroglide, ID, Wet, or ForePlay, some of which are available at better drug stores, and most of which are available in some form at adult toy stores.

Do not buy anything that is oil-based. Make sure the lubricant you buy is rated "condom compatible." Nothing else will do. Oil- based lubricants such as vaseline or baby oil will destroy a condom long before you're done having sex. And many oil-based sub- stances will coat the lining of the rectum, providing a haven for many potential infections.


Do I have to use a condom?
Even if you're sure that both you and your partner are disease- free, you should still use a condom. The rectum is home to lots of infectious bacteria that can cause burning and urethritis of the penis. It will also help you clean up afterwards.


I'm worried that anal sex will be messy.Anal sex should not be messy. Most first-timers fear that it will be, but most people can tell when they have to go. A condom will help with cleanup, of course, and if you're really concerned, a commercial enema, like Fleet, will help beforehand.

How do we prepare for anal sex?
Patience is the third and final thing you need to make anal sex possible. Initial penetration is always the most difficult part of anal sex-- the anus is a tight ring of flesh at the opening of the rectum designed to control the elimination of bodily waste. It is partially under voluntary control, and partially reflexive to stimulation. Your partner has to relax, and you have to go slow to coax it into opening enough to recieve your penis.
Start with a well-lubricated finger or a slim (smaller than your penis) dildo. The dildo is more realistic, but your fingers can flex and feel what they're doing inside her ass. Slide one finger in slowly, letting her adjust to it. Take your finger all the way out, then push it back in again. Give her anus time to get used to this kind of activity. Then slide a second finger in. Consider how big your penis is and realize that two fingers is probably enough.



What position should we use for anal sex?

For actual intercourse, picking a position can be important. Many women want to be on top, to regulate how fast penetration occurs. Other like to lie on their stomachs, or crouch doggy-style, or to be penetrated while lying on their sides. Choose what's best before you start.

As always, control yourself. Take your time and use lots of lubricant. People who like anal sex say that "too much lube is almost enough." Listen to her-- if she tells you it starts to hurt, back off.

Eventually, a time will come during your lovemaking where her anus will relax enough to allow the head of your cock to 'pop' into her. If she is completely relaxed, that pop should feel completely painless. Now just because you're inside her is no reason to start pounding away like mad. Let her body adjust. Take your time. Eventually you will both be ready for more.
 
Kibunango,

Jibu swali sasa.
Mshkaji kauliza "Madhar Ya 'Mlango wa dharura' Ni Yapi?"


Can anal sex actually give pleasure?
What do I need to have anal sex?
Do I have to use a condom?
I'm worried that anal sex will be messy.
How do we prepare for anal sex?
What position should we use for anal sex?
 
Kibunango,

Jibu swali sasa.
Mshkaji kauliza "Madhar Ya 'Mlango wa dharura' Ni Yapi?"
Kamanda
Nimeona hilo,
Ila kabla ya hapo nikaona ni bora kwanza kujua inafanyika vipi na kwa nini inapendwa, sasa nitakuja na madhara yake
 
Sijui ndugu zetu waislam wanasemaje, kwani haka katabia kwa hapa kwetu Tz kaliletwa na ndugu zetu waraabu(mwambao wa pwani) pole pole kakaanza kuenea, ila tunashukuru huku mikoani hizo ni njonzi
 
Sijui ndugu zetu waislam wanasemaje, kwani haka katabia kwa hapa kwetu Tz kaliletwa na ndugu zetu waraabu(mwambao wa pwani) pole pole kakaanza kuenea, ila tunashukuru huku mikoani hizo ni njonzi

Waarabu...!! Unataka Waislam waseme nini?

Je wale mapadri na maaskofu wenye kuwaalibu watoto wa kiume kule seminary, Je ndo ukristo ule? Makanisa yanayo shabikia ndoa za kishoga nayo unataka waislam waseme kitu gani?
 
Sijui ndugu zetu waislam wanasemaje, kwani haka katabia kwa hapa kwetu Tz kaliletwa na ndugu zetu waraabu(mwambao wa pwani) pole pole kakaanza kuenea, ila tunashukuru huku mikoani hizo ni njonzi


ni juzi tu nimebadiri dini kuwa mwisramu, na hilo swali nirimuuriza shehe kutokana na sababu binafsi za historia yangu na akasema ukimwingiria mkeo kinyume na huko uwani ni sawa umeshawacha bira hata ya kumpa talaka. Ni jambo risiroruhusiwa kabisa katika mafundisho.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom