Habari wapendwa madaktari..
Nilipata stretch marks (mazimola) tumboni na mapajani kwangu mara baada ya kubeba ujauzito..
Nimeshauriwa kuwa kuna vidonge vinaitwa vitamin E capsules vya kijani nitumie kujipaka mwezi mzima ngozi itakuwa sawa!!!! Naombeni ushauri wengu haswa juu ya madhara ya hizi dawa.
NB nina ugonjwa wa mba kichwani na kwenye ngozi nimeambiwa pia ni nzuri please advice me...!
Thank you dear doctors
Nilipata stretch marks (mazimola) tumboni na mapajani kwangu mara baada ya kubeba ujauzito..
Nimeshauriwa kuwa kuna vidonge vinaitwa vitamin E capsules vya kijani nitumie kujipaka mwezi mzima ngozi itakuwa sawa!!!! Naombeni ushauri wengu haswa juu ya madhara ya hizi dawa.
NB nina ugonjwa wa mba kichwani na kwenye ngozi nimeambiwa pia ni nzuri please advice me...!
Thank you dear doctors