Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

Pamoja na kusaidia wengi kumbuka kuna madhara ambayo huwezi kuyaona kwa muda mfupi ni mpaka baada ya miaka kadhaa na ni makubwa kuliko unavyotarajia,mbona kondomu ni nzuri tu kutumia?
Hakina ambacho hakina madhara dunia ya leo chamsingi nikuangalia kile chenye madhara kidogo.Swala la kalenda nalo sio la kuamini sana kwasababu miili ya wanawake ina mambo mengi na wako wanawake wengi sana hawajui au hawazingatii hizo tarehe.na pia condom hapa napo kuna changamoto,wanaume wengi tunatumia condom kwa mwanamke mpya ila mkishazoeana au mkeo hii kitu haina tena kazi.Nenda uko vijijini hudhuria dispensar siku ya clinic ndo utaona kulivyo na umuhim wa hizo dawa.
 
Hakina ambacho hakina madhara dunia ya leo chamsingi nikuangalia kile chenye madhara kidogo.Swala la kalenda nalo sio la kuamini sana kwasababu miili ya wanawake ina mambo mengi na wako wanawake wengi sana hawajui au hawazingatii hizo tarehe.na pia condom hapa napo kuna changamoto,wanaume wengi tunatumia condom kwa mwanamke mpya ila mkishazoeana au mkeo hii kitu haina tena kazi.Nenda uko vijijini hudhuria dispensar siku ya clinic ndo utaona kulivyo na umuhim wa hizo dawa.
Mkuu matumizi ya hivyo vitu hasa condomu na calendar ni comitment tu ya mtu binafsi ndizo ambazo tunatumia na mwenza wangu siku ambazo hazieleweki condomu ila muda mwingi ni Calendar njia moja nzuri sana na rahisi kutumia......sema waliowengi hawajui kuitumia kazi yao kubwa ni kuangalia tu tarehe badala ya kucheki pia na mabadiliko ya mwili ikiwemo ute utolewao siku husiku.......ni rahisi sana hii kitu
Mi nachosema tu hapa kila mtu afanye anavyoona inafaa maana kumbadilisha mtu si suala dogo
 
Mkuu matumizi ya hivyo vitu hasa condomu na calendar ni comitment tu ya mtu binafsi ndizo ambazo tunatumia na mwenza wangu siku ambazo hazieleweki condomu ila muda mwingi ni Calendar njia moja nzuri sana na rahisi kutumia......sema waliowengi hawajui kuitumia kazi yao kubwa ni kuangalia tu tarehe badala ya kucheki pia na mabadiliko ya mwili ikiwemo ute utolewao siku husiku.......ni rahisi sana hii kitu
Mi nachosema tu hapa kila mtu afanye anavyoona inafaa maana kumbadilisha mtu si suala dogo
Kwa faida ya wengi please tuelezee jinsi ya kutumia/hesabu kalenda na nini cha kuangalia kwenye hayo mabadiliko ya mwili (ute etc.) Naamini utasaidia wengi.
 
Habari za siku mingi?
Ni kweli usipokuwa makini hizo njia za withdraw na calendar ni ngumu sana ila kusema za ukweli hizi dawa za hospitalini ni hatari zaidi bora kuzaa kuliko kutumia dawa za uzazi wa mpango........nitaje madhara machache tu
1.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2.Uke kujaa maji mengi hivyo kupunguza raha kwenye tedo la ndo na kuweza kusababisha uchepukaji
3.Hasira kwa mwanamke......mwishowe humchukia hata mume baadae uchepukaji huweza kutokea
4.Kwa sababu dawa huwa kwenye mzunguko wa damu muda wote uwezekano wa kuzaa mtoto mwenye matatizo ya akili ni mkubwa sana........rejea watoto wa sasa ambao wazazi wao wamekuwa watumiaji wa dawa hizi(rejea pia uwezo wa watoto mashuleni)
5.Uwezekano wa kupata kansa ya shingo ya kizazi/kansa kwenye mji wa mimba ni mkubwa sana
6.Uke kujaa maji humfanya mwanaume apunguze uwezo wa tendo la ndoa na kusemekana mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume
Kwa uchache ni hayo tu dada yangu ila njia za asili zipo nyingi na zina matokeo chanya zaidi kuliko hizo za hospitalini wewe endelea kutumia ila mwisho wa siku yakikupata moja kati ya hayo utatukumbuka.........kumbuka hospitalini hawasemi ukweli sababu hizo ni biashara za watu

Nikipata muda nitaelezea hapa njia za asili za kupanga uzazi

Kwa kweli hizi dawa siyo nzuri...binafsi nimezitumia na madhara nimeyaona. Niko kwenye mchakato wa kuziacha na kurudia njia za asili.
 
Ushauri wangu:
Kama uko kwenye ndoa na bado unazaa, usitumie hizi dawa. Tumia njia za asili, hata ikitokea umepata mimba, itakuwa ni sawa tu maana ulikuwa una mpango wa kuzaa anyway.
Kama ushamaliza kuzaa, bora kufunga kizazi. Hii itakufanya kuwa huru/kujiachia na mwenza wako bila wasiwasi wa kupata mimba,
Kama bado hujaolewa, tumia kondom/kalenda. Hakuna sababu ya kutumia madawa….
 
Hakuna dawa isiyo na maudhi(side effects) ktk mwili wa binadamu ,mf. Piriton ni maalumu kutibu mzio lkn ukinywa utasikia uchovu na usingizi cha muhimu ni kupata hitaji lililokusudiwa na hayo maudhi yasiwe permanent.
Ndio maana kabla ya kupewa njia unaeleweshwa jinsi inavyofanya kazi na side effects zake na zaidi ya hapo unasaidiwa kufanya uchaguzi kwa njia iliyo sahihi kutokana na jinsi ulivyo au kama una matatizo mengine ya kiafya.
Labda kwa kumalizia uzazi wa Mpango ktk nchi yetu Si LAZIMA na kila mtu ana haki ya kuelimishwa na kuamua kwa HIARI yake pia uzazi wa Mpango sio kwa Mwanamke pekee hata Mwanaume anaweza shiriki kwa kufunga kizazi.
 
Kufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa

Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda

Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu

Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress

Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie

Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa

Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu
Kama huyo mtoto yupo nenda kamtolee sadaka na kuomba toba na kukataa roho ya kukataliwa!

Manaa huuo akishakataliwa toka akiwa tumboni mwako, so unawwza usije kuamink kitakachomtokea huko mbele ya safari ya maisha.
 
Bora mie nawangu nipo Rombo yupo Dar hatuhitaji njia yoyote maana kwa miezi minne mpaka sita tunakutana mala moja au mbili tena kwa hesabu kubwa. Njia nyingi zimeorodheshwa lakini sijaona Calender.
 
Matumizi ya muda mrefu wa dawa hizi yanaweza kupelekea matatizo
1.Figo
2.kansa
3.kisukari
4.UKIMWI.
TUijikite kwenye njia za asili .
Pharmceutical companies create customers not cure.
 
Ndio maana ma kansa ya vizazi na utumbo yanaongezeka siku hizi na huwez kuambiwa ukweli kwamba hiyo midawa inachangia,mi huwa namwaga zangu nje sitaki drama za njia hizi za uzazi wa mpango na tunaenda vizuri sana na wife ktk kupangilia uzazi wetu,na hii ni tangia enzi hzo hatutaki mimba kabla ya ndoa mpaka sasa ambapo tunataka watoto kwa mpangilio mzuri.
 
Masuala ya kupanga uzaz yana changamoto nyingi. Mimi napenda atumie vidonge kwani sipend condom kabisa. Inaninyima raha ya tendo
 
Hivi ile ya mwanaume akifunga kizazi anakua na uwezo wa kumwaga wazungu?
 
Ndio maana ma kansa ya vizazi na utumbo yanaongezeka siku hizi na huwez kuambiwa ukweli kwamba hiyo midawa inachangia,mi huwa namwaga zangu nje sitaki drama za njia hizi za uzazi wa mpango na tunaenda vizuri sana na wife ktk kupangilia uzazi wetu,na hii ni tangia enzi hzo hatutaki mimba kabla ya ndoa mpaka sasa ambapo tunataka watoto kwa mpangilio mzuri.
Wewe ni mwanaume mzuri na unamhurumia mkeo
 
Back
Top Bottom