Pamoja na kusaidia wengi kumbuka kuna madhara ambayo huwezi kuyaona kwa muda mfupi ni mpaka baada ya miaka kadhaa na ni makubwa kuliko unavyotarajia,mbona kondomu ni nzuri tu kutumia?Bado hizo njia zimesaidia wengi.ni kiasi cha mwanamke mwenyewe kwenda kujicheki ajue njia gani ya mpango itakayomfaa kulingana na yeye alivyo.hizo nyingine ni mbwembwe tu.Kuna yale magoli ya asubui asubui haya huwa hakunaga cha condom wala kalenda wala nin.