junior mzolo
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 140
- 7
Eti wana jf kuna madhara yoyote yatokanayo na kutumia simu za touch screen au ni uzushi tu miongoni mwa watu
Madhara yake ukizoea sana mwishoe uta touch vitu visivyotachiwa then upate hasara.
Tabia hii si nzuri,leteni majibu ya kisayansiKwhyo molel we unatumia phone gn
Effect kubwa ambayo imewapata watu wengi ni dole gumba kubadilika na kuwa kama uume wa ngamia!
Kwhyo molel we unatumia phone gn
Effect kubwa ambayo imewapata watu wengi ni dole gumba kubadilika na kuwa kama uume wa ngamia!