MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie mwachie MUNGU.
MTOTO akajibu Mungu hazimtoshi zile yebo ni ndogo!
Huu ni Mtihani Tuwapeleke Watoto KANISANI Wamjue MUNGU.
He! Ila wewe nawe waonekana huyo mtoto ni wa lika moja maana hayo ni mambo ya kuwasimulia watoto wenzako we unatuletea huku,hapa si pahala pake labda wapelekee wenzako kule fb...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.