Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Habari zenu wana jf nimekuwa mtu wa kukasilika mara kwa Mara kwa mambo madogo kichwa kuniuma kukosa kujiamini naota nafanya mapenzi wanawake ninao wafahamu na hata nisiowafahamu Muda mwingine nakuanajitambua kabisa mchana kweupe kwamba hapanafanya kitendo hiki nikiamka boxer imelowakwa wiki naweza kuota mara 3 Je hili ni tatizo uchumi wanchi na hali kuwa ngumu au ni mabadiliko tu ya kimwili?