Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 3,995
- 5,435
Habari doctors,
Nahitaji ushauri wataalam kwani nnampango wa kuongeza uume.
Najaribu kuhisi yawezekana nikifika miaka ya 40 nguvu inaweza kupungua kabisa au nikashindwa kupafomu,
Pls nahitaji msaada wenu kabla sijafanya maamuzi.
Nahitaji ushauri wataalam kwani nnampango wa kuongeza uume.
Najaribu kuhisi yawezekana nikifika miaka ya 40 nguvu inaweza kupungua kabisa au nikashindwa kupafomu,
Pls nahitaji msaada wenu kabla sijafanya maamuzi.