Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 3,994
- 5,437
Wanajukwa wasalaam,
Pamekua na matangazo mengi ya biashara ya dawa za kuombeza maumbile ya kiume kwenye mitandaoni na mitaani sasa sijui pengine mamlaka husika imedhibitisha ama Ni miongoni mwa biashara haramu?
Hoja ya msingi ni madhara yapi endapo mwanaume akaongeza maumbile yake either kwa urefu ama unene je madhara yapi yamoja kwa moja ama ya baadae yanaweza kumpata?
Nauliza hivo kwasababu najua kila kitu Mungu alikiumba katika hali ya kubalance kulingana na biological makeup ya mtu Sasa je vinavyoongezeka ufanisi unaweza ukawa sawa na uhalisia au utabadilika? Je, umri unapoongezeka uwezo utapungua Kama kawaida au utapungua visivyo kawaida?
Natanguliza shukrani kwa mwenye experience na hili swala akatoa ushuhuda pia kwa wataaamu was afya upande wa afya ya uzazi kwakina baba.
Ahsante!
Pamekua na matangazo mengi ya biashara ya dawa za kuombeza maumbile ya kiume kwenye mitandaoni na mitaani sasa sijui pengine mamlaka husika imedhibitisha ama Ni miongoni mwa biashara haramu?
Hoja ya msingi ni madhara yapi endapo mwanaume akaongeza maumbile yake either kwa urefu ama unene je madhara yapi yamoja kwa moja ama ya baadae yanaweza kumpata?
Nauliza hivo kwasababu najua kila kitu Mungu alikiumba katika hali ya kubalance kulingana na biological makeup ya mtu Sasa je vinavyoongezeka ufanisi unaweza ukawa sawa na uhalisia au utabadilika? Je, umri unapoongezeka uwezo utapungua Kama kawaida au utapungua visivyo kawaida?
Natanguliza shukrani kwa mwenye experience na hili swala akatoa ushuhuda pia kwa wataaamu was afya upande wa afya ya uzazi kwakina baba.
Ahsante!