Madhara ya kunywa maji

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,425
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....
 
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....
swwe
 
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....
ndugu inaoenaka wewe ni mchaza Olympic ile ya mkuyati maana kama ungekuwa na stamina ungebana kojo lako na ukapata muafaka wa m.moja.
 
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....

dah mkuu umetishs
 
Sasa ngoja siku uote ndoto kama ilee ya Mheshimiwa Godbles Lema!! Utalaani kwa nini hukunywa hata ndoo ya maji ili ushtuke shtuke.
 
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....
Duh umenivunja mbavu mkuu.
 
Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.

Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na mtu Whatsapp.

Basi ile nikasogea karibu kujua nini kinajili na watu washaanza kujaa.
Yule mama kumbe kaibiwa simu.

Mara kuniona mimi akasema simu yake aliyoibiwa mimi ndo nimeishikilia.
Watu wakanivamia kuanza kunipiga.

Bahati nzuri maaskari wakatokea.
Wakatuchukua wakatupeleka polisi kijitonyama.

Kufika Kijitonyama yule mama akaambiwa apige simu yake ikaonekana kwamba kumbe aliisahau nyumbani sababu aliipokea mdada wa kazi.

Yule mama alidhani mimi ndo nimemuabia simu sababu simu yake na yangu zinafanana.
Sasa akaanza kuniomba msamaha.

Polisi wakashauri kwamba tuelewane.
Huwezi amini yule mama akataka kunipa milioni moja cash.

Bahati mbaya..mkojo ukanibana ikabidi niamke kwenye hii ndoto na kwenda kujisaidia.
Yaani nimeudhika sana huu mkojo unenikosesha milioni moja.

Sirudii tena kunywa maji mengi kabla ya kulala.
Hili ni funzo kwa watu wote kabla hujalala usinywe maji maana unaweza kosa dili ndotoni....
kwikwikwikwikwikwikwi kwakwakqa mbavu zangu mie you made my day
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom