Kumbe wanaume wanaowakana wanawake wanaowapa mimba wakat mwingine wanafanya uamuzi nzuri sana.Wanajiepusha na matatizo mengi.Wanawake wengi baada ya kupewa mimba wanalazimisha kuishi pamoja na wanaume waliowapa mimba hata kama mwanamume hakuwa tayari. Hali hii huwakuta wanaume wenye kipato kizuri,kibaya zaidi mwanaume hujikuta kwenye matatizo akikubali kuishi pamoja na mwanamke aliyempa ujaizito kwani akijifungua vibweka vinaanza.Mwanaume hujikuta kwenye wakati mgumu hasa pale mwanamke akijua unataka mulee mtoto wenu pamoja.Ujeuri,ubabe,ugomvi kila siku,unajuta kwa nini umekubali ile mimba.Maisha yako yanakosa amani,unatamani ukimbie mji wako.Imekuwa kama umefuga chui ndani.NAwapa big up wanaume wanaowakana wanawake wanaowapa mimba.