Madhara ya COVID-19, Kwenye Media, NMG ya Kenya Kupunguza Waandishi 100!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa..

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,578
Wanabodi,

Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba na vyombo vingine vyote vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya habari vya umma ambavyo vinakuwa spoon fed, na kuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, visipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali
 
Wanabodi,
Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba vyombo vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya umma ambavyo vinakuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, sisipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali


Wapunguziwe vifungo wafungwa wengine hawakuwa na nia

Kutekana kuuana sio sifa ya Mtz
 
Sasa mzee baba, vyombo vyetu vya habari vitaathirika vipi na wakati maisha yetu nchini yanaendelea kama kawaida mara baada ya kuamua kwa makusudi kabisa kuishi na hiyo Covid 19 ndani ya jamii yetu?

Huoni kuna utofauti kati ya sisi na hao majirani zetu Wakenya juu ya namna ya kupambana na hili janga? Wenzetu wameji lock down kiasi cha shughuli nyingi za kisiasa, kiuchumi na kijamii kusimama!

Au unaongelea Long term effects? Bahati mbaya kwa nchi yetu, sidhani kama tuna mikakati ya aina hiyo hiyo! Na ndiyo maana hata pale baadhi ya shule binafsi ziliposhindwa kuwalipa mishahara watumishi wake, Serikali yetu haikuchukua hatua yoyote ile.
 
Wanabodi,
Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba vyombo vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya umma ambavyo vinakuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, sisipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali
mkuu naona baada ya kurudishiwa press card yako umeanza kukunjua makucha..
🙌🙌🙌🙌
 
Madhara kama yatawakuta hayawezi kuwa makubwa sana, as long as wamevumilia miezi mitatu ya Corona naamini watakuwa wame-adopt situation kwa kiasi fulani.
 
Jamii yote imeathirika hata wakulima ambao mazao yao ya biashara futilia ufuta uone.ufuta ambo mwaka Jana uliuzwa mpaka tshs 3500+/kg sasa upo chini ya tshs 1700/kg
Hawajaomba kusaidiwa wakulima ni muhimu Sana tunaweza kuishi bila magazeti,tv nk .lakini bila wakulima hakuna maisha pambaneni na hali yenu
 
Wanabodi,
Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba vyombo vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya umma ambavyo vinakuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, sisipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali
Pascal Mayalla madhara ya COVID 19 ni zaidi ya unavyohisi wewe kwa kuangalia tuu taaluma yako. Huku Arusha kuna biashara nyingi sana zilikuwa zinafanya kazi na makampuni ya utalii zikiwemo Supermarkets, wauza mboga mboga, kampuni za ukaguzi na ushauri wa kodi, huduma za internet, mafundi ujenzi, petro stations, kampuni za bima n.k. zote hizo tuko hoi, tunapambania hali zetu angalau tuweze kufika December 2020 vinginevyo mtaji watu tulionao hatuna namna zaidi ya kuwapunguza wengine. Hata hivyo wale ambao tunatambua kuwa MTAJI WATU ndio wa maana kuliko MTAJI PESA bado tunaendelea kuulinda huo MTAJI WATU kwa kupunguza matumizi mengine yanayowezasubiri mpaka hali iwe nzuri.

Ni bahati mbaya sana Serikali yetu haijachukua hatua za makusudi kuhakikisha kuendelea kuwepo kwa biashara tajwa hapo juu mfano kwa kutoa baadhi ya kazi zinazofanywa na serikali na mashirika yake kwa sekta binafsi kwa nia ya kulinda ajira.
 
Wanabodi,

Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba vyombo vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya umma ambavyo vinakuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, sisipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali

Mkuu kwanini wazungumzia rescue kwa media peke yake?

Hili suala mbona ni sekta zote? Vipi waliopo kwenye utalii, elimu mahoteli na hata usafirishaji yakiwamo madege hata taxi, ma mc nk?

Ni kwa sababu hiyo kuliitishwa rescue package kwa sekta zote.

Kwingine EA hapa hapa hata kodi za serikali tu zimesukumwa mbele hadi baadaye sana mwakani.
 
Wanabodi,

Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba vyombo vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya umma ambavyo vinakuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, sisipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali
Juzi wameanza na Nanai
 
Wanabodi,

Tangu kuingia kwa Janga la Corona, mimi kama mwandishi wa habari wa kujitegemea, nimekuwa nikipiga kelele kuwa media needs to be rescued ili ziweze ku survive, kilio hiki 0has been falling on deaf ears!. Ukiona mwenzako ananyolewa....

Kibano cha madhara ya Covid 19, yameanza kuitafuna media ya jirani zetu Kenya.

Jisomee mwenyewe
NMG Kicks Out Senior Editors and Managers as it Shifts Gears

Kufuatia madhara ya Covid 19, on media, NMG kupunguza waandishi 100 Wakiwemo Editors 40!. This is a " Wake Up Call" Kwa familia ya magazeti ya Citizen/Mwananchi!. Ukiona Mwenzako Ananyolewa!.

Haya madhara ya COVID-19, hayataishia kwenye magazeti ya Citizen na Mwananchi tuu yatavikumba na vyombo vingine vyote vikubwa vya habari nchini ukiondoa vyombo vya habari vya umma ambavyo vinakuwa spoon fed, na kuwa bailed out na serikali, lakini vyombo vingine vyote vya habari, visipo saidiwa kwa kuwa bailed out, vita suffer the consequences.

Paskali
Pascal nafikiri shida za NMG mojawapo Ni disruption brought about by the internet/digital media impacting negatively on the consumption of traditional paper print, TV and Radio. Part of the reason is the digital disruption brought about by the internet and its impact on the consumption of traditional print, radio and TV media.

Utapata some Media houses across the globe and some in Kenya such as Tuko News are mostly digital with a subscription fee so unasoma gazeti lako kwa simu au laptop yako.

Covid-19 has been more of a catalyst than a cause for change.
 
Back
Top Bottom