Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
Huu sasa ndio uchonganishi wa waziwazi. Hizi habari za kwenye mitandao ndo vitisho mkuu?
malaika shuka ufunge mitandao!haaaaaaa unaitwa uhuru wa kujieleza huuHahahaha kwani ataishi milele? Siku yake ikifika tamfanyia kama gadafi hata akijificha mtaroni. Tukimkosa akiwa hai hata kaburi lake tutalipiga mawe
Hatutaki raisi Mpendwa atoke, ila tunapenda atuongoze kwa Hekima na kufuata katibaLkn hamna uwezo wa kumuondoa Raisi!
Mbona kila siku anajibu kwenye majukwaa unadhani kelele hizi hazimtishi?Lkn ni counterproductive hivyo ni mjinga tu ndiyo anaweza kuwekeza muda wake kwenye asiloweza kulibadilisha!
Duuuu aisee ama chuki imejaa.kuliko.tunavyofikiriaHahahaha kwani ataishi milele? Siku yake ikifika tamfanyia kama gadafi hata akijificha mtaroni. Tukimkosa akiwa hai hata kaburi lake tutalipiga mawe
Sasa hivi hapa JF karibia kila post imejaa vitisho kwa Raisi wa JMTZ, sasa kwa maoni yangu hii ina athari mbaya sana nchi na inaweza kuibadilisha nchi hii forever!
Kwanza ieleweke hakuna mwenye uwezo wa kumuondoa Raisi wa JMTZ kwa nguvu siyo Bunge wala Mtu yoyote yule!
Sasa kipi kitatokea? Raisi kwa kutumia madaraka yake makubwa anaweza kuanza kujilinda, hili siyo geni Dunia hii na tukifikia huko tutakuwa tumeshaipoteza Tanzania kama tuijuavyo, Raisi anaweza kuanza kuteua watu anaowaamini, anaweza kuanza kuisuka upya Nchi kwa lengo la kujilinda dhidi ya vitisho vyenu msisahau pia Raisi anatokea eneo ambalo lina Watanzania wengi klk yote, sasa ni rahisi sana Raisi wa nchi kutumia hivi vitisho vyenu na kuwaaminisha watu wa Kanda ya Ziwa kwamba anaonewa na hawana budi kumlinda hili hutokea Dunia nzima, hivyo kwangu ni angalizo tu!
Hamna uwezo wowote wa kumuondoa Raisi hivyo msitake tufike huko, mtu mwenye akili hufanya mambo ambayo ana uwezo nayo na asiye na Akili hutumia muda mwingi kwenye jambo ambalo hawezi kulibadikisha, fanyeni Siasa nyingine, Raisi wa JMTZ ana madaraka makubwa sana, anateua na kutengua karibia kila cheo muhimu hapa Tanzania, hivyo vitisho vyenu vinaweza kuback fire big time ...
Kinyungu huna uwezo huo wewe mbulula labda kusema kwenye mitandao tu.... kama unaweza chukua hatua tuone kama unaubavu!!Hahahaha kwani ataishi milele? Siku yake ikifika tamfanyia kama gadafi hata akijificha mtaroni. Tukimkosa akiwa hai hata kaburi lake tutalipiga mawe
Katu hawezi kutawala nchi bila wasaidizi wake na bila support ya sisi wananchi hivi vyeo ni dhamana tu kuna maisha baada ya hivyo vyeo (kila mtu na mwisho wake hakuna atakaye ishi milele)
mkuu, nguvu ya umma ni nguvu ya Mungu.Sasa hivi hapa JF karibia kila post imejaa vitisho kwa Raisi wa JMTZ, sasa kwa maoni yangu hii ina athari mbaya sana nchi na inaweza kuibadilisha nchi hii forever!
Kwanza ieleweke hakuna mwenye uwezo wa kumuondoa Raisi wa JMTZ kwa nguvu siyo Bunge wala Mtu yoyote yule!
Sasa kipi kitatokea? Raisi kwa kutumia madaraka yake makubwa anaweza kuanza kujilinda, hili siyo geni Dunia hii na tukifikia huko tutakuwa tumeshaipoteza Tanzania kama tuijuavyo, Raisi anaweza kuanza kuteua watu anaowaamini, anaweza kuanza kuisuka upya Nchi kwa lengo la kujilinda dhidi ya vitisho vyenu msisahau pia Raisi anatokea eneo ambalo lina Watanzania wengi klk yote, sasa ni rahisi sana Raisi wa nchi kutumia hivi vitisho vyenu na kuwaaminisha watu wa Kanda ya Ziwa kwamba anaonewa na hawana budi kumlinda hili hutokea Dunia nzima, hivyo kwangu ni angalizo tu!
Hamna uwezo wowote wa kumuondoa Raisi hivyo msitake tufike huko, mtu mwenye akili hufanya mambo ambayo ana uwezo nayo na asiye na Akili hutumia muda mwingi kwenye jambo ambalo hawezi kulibadikisha, fanyeni Siasa nyingine, Raisi wa JMTZ ana madaraka makubwa sana, anateua karibia kila cheo muhimu hapa Tanzania, hivyo vitisho vyenu vinaweza kuback fire big time ...
Kweli hakuna jipya, maana aliyetoka alilaumiwa kwa kuwafumbia macho washkaji zake wakiwa na masoo, need we say more?Hakuna kitu kama hicho, hakuna jipya Dunia hii!