gilberto de rico
Senior Member
- Feb 7, 2019
- 165
- 120
hayo. ni mapepo ,shetani ni mjanja sana aliona kitu pekee cha kumuangamiza mwanadam wa sasa ni ngono, WE NEED A MIRACLE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan nilizan ni mimi mwenyew nimeshindwa kuendeleaDuh!!!!!
Nimeshindwa kusoma hadi mwisho.. kwa kujikuta nimeanza kusikia kichefuchefu..
Kila la kheri na yenu hayo
Siku akikosa wanawake atafata wanaume tu hakuna namnaaa!!!Kingine mwanaume akiruka ukuta kwa mwanamke baadae Huenda kwa mwanaume na mwishoni hugeuzwa yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huishia hukooo..maana akikosa wanawake anafata wanaume wenziwe na yeye mwisho hugeuzwaaKingine mwanaume akiruka ukuta kwa mwanamke baadae Huenda kwa mwanaume na mwishoni hugeuzwa yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani haki tena
Umeandika kwa uchungu sana.
Utakua ushafiiiii...rwa siku siyo nyingi.
Natanguliza samahani lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani haki tena
Ila hakuna kiumbe mbinafsi km mwanaume yaani wanaona tunafaidi kuliwa eeeh!na wao wanaona bora waliwe daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna fala mmoja huyo anaitwa okoyoko huyu bwana kila ukimuambia anakwepa.hapo umetaja madhara ila yeye anaweza kukuambia anatumia kondom hvyo havyo yote hayampati.
Ila kubwa linalomsumbua bwana okoyoko sasa hivi ni kwamba anajutia moyoni kwa nini kauanza mchezo huu.kwa sababu Laana laana tu lazima uijutie.
okoyoko salamu zako najua kuacha unataka ila unakwamishwa na starehe zza muda mfupi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapata laana zipi hizo mkuu, zitaje mafirauni wengine wazjjue
Laana maana yake ni kitu ambacho mungu amekataza na kwa mfanyaji akifanya anakuwa haurumiwi na mungu kabisa mpaka atubie.
Mfano kulawiti mungu amelaani wafanyaji liwati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadharia kivipi unakusudia?Hii bado nadharia, hawawezi kukuelewa hapa
Kabisa kuna ukweliKingine mwanaume akiruka ukuta kwa mwanamke baadae Huenda kwa mwanaume na mwishoni hugeuzwa yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siungi mkono swala la ufi.raji ila wewe ni mangapi Mungu amesema usifanye unafanya ila bado unadunda tu?Laana maana yake ni kitu ambacho mungu amekataza na kwa mfanyaji akifanya anakuwa haurumiwi na mungu kabisa mpaka atubie.
Mfano kulawiti mungu amelaani wafanyaji liwati.
Sent using Jamii Forums mobile app