Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
FAMILY PLANING.jpg
DOCTOR.jpg



Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake.

Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake
Wasichana na wanawake hutumia tembe za kupanga uzazi nyakati ambapo wameshiriki ngono bila kinga na wanahofia kuwa wanaweza kupata uja uzito ambao hawakupanga. Wengi hutumia tembe za Postinor-2 wanazozinunua kutoka kwenye maduka ya madawa huku baadhi yao wakitumia tembe za mwezi mzima za kupanga uzazi.

Kuna wale ambao hujikuta wameshiriki ngono na watu wasiowajua baada ya kunywa pombe usiku kucha na kurusha roho,
hivyo hulazimika angalau kuzuia kupata uja uzito. Hata hivyo, kuna madhara ambayo hutokana na matumizi ya dawa hizo ambazo wengi hawazijui

1. Kisunzi.
2. Alama za hedhi zinazotoka katikati ya mzunguko wa mwanamke.
3. Uchungu kwenye matiti.
4. Maumivu ya kichwa na kipandauso.
5. Kuongeza uzani.
6. Mabadiliko ya hisia
7. Kukosa kuwa na hedhi.
8. Kupungua kwa uthabiti wakati wa ngono.
9. Majimaji yanayotokea kwenye sehemu ya uzazi.
10. Kubadilika kwa jinsi mtu anavyoona kwa wanaotumia miwani.
11. Kuwa na vilia au vidonge vya damu.
12. Maumivu ya tumbo na kiuno.
13. Maumivu ya kifua, muda mfupi wa kuvuta pumzi au zote.
14. Kufura kwa miguu na mapaja na uchungu katika sehemu hizo.

ZAIDI SOMA:
Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

MADHARA YA KUTUMIA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO

Serikali huwa haiwaambii ukweli wanawake hasa pale matangazo kuhusu uzazi wa mpango yanaposhika kasi kwenye Tv na Radio

Ili kuepuka kupata ujauzito, wanawake hutumia njia mbalimbali za kupanga uzazi wao ikiwa ni pamoja na utumiaji wa vidonge, vitanzi, vijiti na wengine wachache hutumia mipira wakati wa tendo la ndoa.

Njia hizi kila moja ina athari chanya na hasi na mara nyingi hutegemea na hali ya mtu anayezitumia kwani akitumia mmoja anaweza kuona madhara kadhaa lakini mwingine asione.

Katika kuchambua madharaya ya njia hizi za kupanga uzazi, tutaelezea madhara ya matumizi ya vidonge vya kupanga uzazi kwa wanawake.

Kupata kichefuchefu.

Mtumiaji anayetumia dawa hizi kwa mara ya kwanza ana uwezekano mkubwa wa kupatwa na kichefu chefu ambacho hudumu kwa muda mfupi hadi mwili utakapozoea dawa hizo. Ukitumia dawa hizi wakati wa chakula, au muda mfupi kabla ya kulala huenda ikakusaidia kupunguza hali hiyo.

Aidha, unashauriwa kuwa, endapo utaona hali hiyo imeendelea kwa muda mrefu, muone mtaalamu wa afya kwa ushauri zaidi.

Kuongeza hamu ya kula

Wakati mfumo wa homoni za oestrogen na progesterone unapobadilishwa kwa kutumia vidonge humfanya mtumiaji kuwa na njaa sana na hivyo kukufanya ule sana hali inayoweza kupelekea kuongezeka uzito. Lakini hakuna ushahidi madhubuti unaoonyesha uhusiano wa moja kwa moja kuwa dawa hizo zenyewe huongeza uzito.

Kubadilika kwa hisia (mood)

Wanawake ambao hukumbwa na matatizo ya kubalika kwa hali/hisia zao kama kuwa na hasira, kutotaka kusemeshwa, hali hiyo huongezeka pale anapotumia vidonge vya kupanga uzazi. Wanawake wa aina hii wanashauriwa kujadiliana na wenza wao kabla ya kuanza kutumia dawa hizi.

Maumivu ya kichwa

Mabadiliko ya homoni katika mwili wa mwanamke anayetumia vidonge hivi, hupelekea maumivu ya kichwa na kipandauso. Mabadiliko tofauti ya homoni hupelekea dalili tofauti tofauti za maumivu ya kichwa. Lakini maumivu na dalili hizo zitaendelea kupungua kadiri ya muda.

Kuganda wa damu

Mtumizi ya vidonge hivi wakati mwingine huwaweka wanawake katika hatari kubwa kutokana na kupelekea damu zao kuwa mabonge mabonge. Wanawake wenye matatizo haya ya damu kuwa mabonge wanashauriwa kutotumia dawa hizi kwani zitawasababishia madhara zaidi. Lakini pia kabla hujaanza kutumia dawa, unashauriwa kumuona mtaalamu wa afya.

Maziwa kuongezeka ukubwa

Vidonge hivi vinaweza kukusababishia maziwa yako kuongezeka ukubwa au kupata maumivu ya maziwa madhara ambayo yataanza kutoonekana baada ya kutumia dawa hizi kwa wiki kadhaa. Hata hivyo, kama utaona maziwa yako hayapo sawa, au maumivu yamedumu kwa muda mrefu, utahitaji kumuona mtaalamu wa afya haraka.

Kutokwa na uchafu ukeni

Baadhi ya wanawake hukumbwa na tatizo la mabadiliko ya utoaji uchafu ukeni hali ambayo huathiri kujamiiana kwao kutokana na kupungua au kuongezeka kwa muda na kiasi cha utoaji uchafu. Utoaji wa uchafu kwa njia ya uke si tatizo kwa wanawake, lakini kama utahisi kuna hali ambayo si ya kawaida, unashauriwa kwenda hospitali.

Athari hizo za vidonge tulizozitaja hap juu sio zote ni mbaya. Madhara mengine kubwa za kutumia vidonge hivyo ni pamoja na kuumwa sana na kichwa, Maumivu ya nyonga, maumivu ya kifua, uono hafifu pamoja na maumivu ya miguu au mapaja.

Endapo moja ya haya madhara makubwa tuliyoyataja hapo yatatokea, unatakiwa kumuona daktari haraka ikiambatana na kusitisha matumizi ya videonge hivyo.

Maumivu hayo yanaweza kuashiria matatizo katika kibofu, ini, damu kuwa mabonge, shinikizo la damu au hata ugonjwa wa moyo.

Vijiti, vidonge, sindano kwa ajili ya uzazi wa mpango ni hatari kwa afya ya mwanamke

Mbaya zaidi hata wanaume wanaitwa huku wakiaaminisha watu njia ya hizo si kwa ajili ya wanawake tu . Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

Pia unashauriwa kusoma
- Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu
 
Tunaomba investigators brochure inayoonesha those side effects. Haya ni mambo serious sana, huwezi kuja hapa JF kusema bila ushahidi wa kisayansi. Kwahiyo waje kwako?
 
Wewe unaongea kama nani? Usije ukawa umesoma ka article uko, alafu ukaja na nguvu zote kutupanga juu ya kitu ambacho watu wamesomea na kufanyia uchunguzi kwa miaka na miaka. Ukapotosha jamii
 
Tunaomba investigators brochure inayoonesha those side effects. Haya ni mambo serious sana, huwezi kuja hapa JF kusema bila ushahidi wa kisayansi. Kwahiyo waje kwako?
Kweli kabisa mkuu, atuambie me naona anataja hadi mechanism of action ya hizo dawa na ansema madhara, alafu hajasema ni dawa gani haswaa anaongelea tumuelewe.
 
Wafuasi hawawezi kukuelewa, sema zinatusave sana hizi dawa hasa P2.
 
Birth control pill FAQ: Benefits, risks and choices


Get the facts about common concerns and questions about birth control pills.
By Mayo Clinic Staff


If you take the birth control pill (oral contraceptive), you're probably happy with its convenience and reliability. Still, you may have questions about how birth control pills could affect your health, the benefits and risks of birth control pills, and newer options available.

Can I use birth control pills to delay or stop my period?

Yes, you can. Birth control pills were once only packaged as 21 days of active hormone pills and seven days of placebo pills. While taking placebo pills, menstrual period-like bleeding occurs.


Today women have many more options — from regimens with 24 days of active pills and four days of placebo pills to regimens that are all active pills.


Some extended-cycle pill regimens have active hormone pills every day for three months, followed by a week of placebo or low-dose estrogen pills. You experience menstrual bleeding during that week. Newer extended-cycle regimens involve taking active pills continuously for one year and can stop all menstrual bleeding.


Continuous or extended-cycle regimens have several potential benefits. They prevent hormone changes responsible for bleeding, cramping, headaches and other period-related discomforts. It can be convenient to skip a period during important events or trips. For women who experience iron deficiency due to heavy menstrual bleeding, using continuous regimens can reduce bleeding and there is less chance of developing iron deficiency.


Unscheduled bleeding and spotting often occur during the first few months on this type of regimen. It usually stops with time, but it continues in some women long after using the pills.

Do I need special pills or can I use ordinary birth control pills to prevent having a period?

There are birth control pill regimens designed to prevent bleeding for three months at a time or for as long as a year. But it's possible to prevent your period with continuous use of any birth control pill.


This means skipping the placebo pills and starting right away on a new pack. Continuous use of your birth control pills works best if you're taking a monophasic pill — with the same hormone dose in the three weeks of active pills.

If I plan to have a baby, how soon after stopping the birth control pill can I conceive?

Most women ovulate again about two weeks after stopping the pill. As soon as you ovulate again, you can get pregnant. If this happens during your first cycle off the pill, you may not have a period at all. Check a pregnancy test if you've had unprotected sex and your period hasn't returned.

Is there an advantage to waiting a few months after stopping the pill before trying to conceive?

Doctors were once concerned that if you conceived immediately after stopping the pill, you had a higher risk of miscarriage. However, these concerns have proved to be largely unfounded. The hormones in birth control pills don't remain in your system.


Most women start periods again a few weeks after they stop using the pill. However, if your periods were infrequent before you started taking the pill, they will likely be that way again after you stop the pill. Some women find that it takes a couple of months before they return to regular ovulation cycles. After stopping the pill, if you're not ready to conceive, then you may want to consider using a backup form of birth control.

What happens if I stop taking the birth control pill and my period doesn't come back?

If you don't have a period for several months, you may have what's known as post-pill amenorrhea. The pill prevents your body from making hormones involved in ovulation and menstruation. When you stop taking the pill, it can take some time for your body to return to normal production of these hormones.


Your period typically resumes within three months after you stop taking the pill. But some women, especially those who took the pill to regulate their menstrual cycles, may not have a period for several months.


If you don't have a period within three months, take a pregnancy test to make sure you're not pregnant and then see your doctor.

Will a pregnancy test be accurate if I'm taking the birth control pill?

You can get accurate results from a pregnancy test while you're on the pill. Pregnancy tests work by measuring a specific pregnancy-related hormone — human chorionic gonadotropin (HCG) — in your blood or urine. The active ingredients in birth control pills don't affect how a pregnancy test measures the level of HCG in your system.

What happens if I take birth control pills while pregnant?

Don't worry if you kept taking your birth control pill because you didn't know you were pregnant. Despite years of this accident happening, there's very little evidence that exposure to the hormones in birth control pills causes birth defects. Once you learn that you're pregnant, stop taking the birth control pill.

Can I use several birth control pills at once for emergency contraception?

It's possible to use standard estrogen-progestin birth control pills for emergency contraception, but check with your doctor for the proper dose and timing of the pills.


Certain types of pills are specifically designed to keep you from becoming pregnant if you've had unprotected sex. These medications are sometimes referred to as the "morning-after pill."


Morning-after pills contain either levonorgestrel (Plan B One-Step, Take Action, Next Choice One Dose, others) or ulipristal acetate (ella). Levonorgestrel pills are available over-the-counter to women or men of any age. Levonorgestrel pills work best when used as soon as possible — and within 3 days — after unprotected sex.


Ulipristal acetate (ella) is a nonhormonal medication available only by prescription. This medication is taken as a single dose for up to 5 days after unprotected sex.

Does how much I weigh reduce the effectiveness of emergency birth control pills?

If your body mass index (BMI) is more than 30 — especially if you use levonorgestrel — emergency contraception may not be as effective, and you could be at risk of still being pregnant after taking the pill or pills. BMI is not as much of a concern when using ulipristal or the copper intrauterine device.

I have taken birth control pills for years and want to stop. Can I stop at any time or should I finish my current pill packet?

In terms of your overall health, it makes little difference when you stop taking the pill. When you finally do stop the pill, you can expect some bleeding, which may change the rhythm of your menstrual cycle. But you can stop at any time.

Can I get pregnant during the week of nonactive (placebo) pills?

Taking the nonactive pills doesn't put you at higher risk of unintended pregnancy. If you're taking birth control pills exactly as directed, they're about 99 percent effective at preventing pregnancy.


But if you miss a pill — or several pills — during a cycle, you might be at higher risk of unintended pregnancy during that cycle. To be safe, use a backup form of contraception, such as a condom, especially if you miss several pills during a cycle.

Do birth control pills cause weight gain?

Many women think so. But studies have shown that the effect of the birth control pill on weight is small — if it exists at all.


Instead, you may be retaining more fluid, which can make you feel as if you've put on weight, particularly in your breasts, hips and thighs. The estrogen in birth control pills does affect fat (adipose) cells, making them larger but not more numerous.

How do birth control pills affect cancer risk?

Scientific evidence suggests using birth control pills for longer periods of time increases your risk of some cancers, such as cervical cancer and liver cancer, but the results aren't consistent. Most data shows that birth control pills don't increase your overall risk of cancer.


On the flip side, the birth control pill may decrease your risk of other types of cancer, including ovarian cancer and endometrial cancer.


Regarding breast cancer risk, some very early studies showed a link between pill use and breast cancer — likely due to the high estrogen dose found in contraceptive pills used in the 1970s. But, today's pills have a much lower estrogen dose, and more recent studies show no increase in breast cancer risk if you take birth control pills. Studies also have found no link between breast cancer risk and use of birth control pills in women who have a family history of breast cancer.

Do birth control pills affect cholesterol levels?

Birth control pills can affect your cholesterol levels. How much of an effect depends on the type of pill you're taking and what concentration of estrogen or progestin it contains. Birth control pills with more estrogen can have a slightly beneficial overall effect on your blood lipid levels. In general, though, the changes aren't significant and don't affect your overall health.

Do birth control pills affect blood pressure?

Birth control pills may slightly increase your blood pressure. If you take birth control pills, have your blood pressure checked regularly. If you already have high blood pressure, talk with your doctor about whether you should consider another form of birth control.

Can women older than age 35 continue taking birth control pills?

If you're healthy and you don't smoke, you can continue taking birth control pills after age 35. However, birth control pills aren't recommended if you're 35 or older and you smoke because of the risk of cardiovascular disease. In that case, you need to quit smoking before you can safely continue using birth control pills.

Can antibiotics decrease the effectiveness of birth control pills?

The effects of antibiotics on birth control pills may be overstated — except in the case of one antibiotic, rifampin (Rimactane). Rifampin does decrease the effectiveness of birth control pills in preventing ovulation, but this antibiotic isn't widely used today.
 
8 & 9 Nimezielewa sana, hawahamasiki kabisa kujamiiana, maji ni mengi sana kwenye papuchi zao na hata ubaridi kuongezeka tofauti na Kuku wa kienyeji wanaotumia kalenda za kawaida.
 
Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu

MADHARA YA KUTUMIA VIDONGE VYA UZAZI WA MPANGO

Serikali huwa haiwaambii ukweli wanawake hasa pale matangazo kuhusu uzazi wa mpango yanaposhika kasi kwenye Tv na Radio

Ili kuepuka kupata ujauzito, wanawake hutumia njia mbalimbali za kupanga uzazi wao ikiwa ni pamoja na utumiaji wa vidonge, vitanzi, vijiti na wengine wachache hutumia mipira wakati wa tendo la ndoa.

Njia hizi kila moja ina athari chanya na hasi na mara nyingi hutegemea na hali ya mtu anayezitumia kwani akitumia mmoja anaweza kuona madhara kadhaa lakini mwingine asione.

Katika kuchambua madharaya ya njia hizi za kupanga uzazi, tutaelezea madhara ya matumizi ya vidonge vya kupanga uzazi kwa wanawake.

Kupata kichefuchefu.

Mtumiaji anayetumia dawa hizi kwa mara ya kwanza ana uwezekano mkubwa wa kupatwa na kichefu chefu ambacho hudumu kwa muda mfupi hadi mwili utakapozoea dawa hizo. Ukitumia dawa hizi wakati wa chakula, au muda mfupi kabla ya kulala huenda ikakusaidia kupunguza hali hiyo.

Aidha, unashauriwa kuwa, endapo utaona hali hiyo imeendelea kwa muda mrefu, muone mtaalamu wa afya kwa ushauri zaidi.

Kuongeza hamu ya kula

Wakati mfumo wa homoni za oestrogen na progesterone unapobadilishwa kwa kutumia vidonge humfanya mtumiaji kuwa na njaa sana na hivyo kukufanya ule sana hali inayoweza kupelekea kuongezeka uzito. Lakini hakuna ushahidi madhubuti unaoonyesha uhusiano wa moja kwa moja kuwa dawa hizo zenyewe huongeza uzito.

Kubadilika kwa hisia (mood)

Wanawake ambao hukumbwa na matatizo ya kubalika kwa hali/hisia zao kama kuwa na hasira, kutotaka kusemeshwa, hali hiyo huongezeka pale anapotumia vidonge vya kupanga uzazi. Wanawake wa aina hii wanashauriwa kujadiliana na wenza wao kabla ya kuanza kutumia dawa hizi.

Maumivu ya kichwa

Mabadiliko ya homoni katika mwili wa mwanamke anayetumia vidonge hivi, hupelekea maumivu ya kichwa na kipandauso. Mabadiliko tofauti ya homoni hupelekea dalili tofauti tofauti za maumivu ya kichwa. Lakini maumivu na dalili hizo zitaendelea kupungua kadiri ya muda.

Kuganda wa damu

Mtumizi ya vidonge hivi wakati mwingine huwaweka wanawake katika hatari kubwa kutokana na kupelekea damu zao kuwa mabonge mabonge. Wanawake wenye matatizo haya ya damu kuwa mabonge wanashauriwa kutotumia dawa hizi kwani zitawasababishia madhara zaidi. Lakini pia kabla hujaanza kutumia dawa, unashauriwa kumuona mtaalamu wa afya.

Maziwa kuongezeka ukubwa

Vidonge hivi vinaweza kukusababishia maziwa yako kuongezeka ukubwa au kupata maumivu ya maziwa madhara ambayo yataanza kutoonekana baada ya kutumia dawa hizi kwa wiki kadhaa. Hata hivyo, kama utaona maziwa yako hayapo sawa, au maumivu yamedumu kwa muda mrefu, utahitaji kumuona mtaalamu wa afya haraka.

Kutokwa na uchafu ukeni

Baadhi ya wanawake hukumbwa na tatizo la mabadiliko ya utoaji uchafu ukeni hali ambayo huathiri kujamiiana kwao kutokana na kupungua au kuongezeka kwa muda na kiasi cha utoaji uchafu. Utoaji wa uchafu kwa njia ya uke si tatizo kwa wanawake, lakini kama utahisi kuna hali ambayo si ya kawaida, unashauriwa kwenda hospitali.

Athari hizo za vidonge tulizozitaja hap juu sio zote ni mbaya. Madhara mengine kubwa za kutumia vidonge hivyo ni pamoja na kuumwa sana na kichwa, Maumivu ya nyonga, maumivu ya kifua, uono hafifu pamoja na maumivu ya miguu au mapaja.

Endapo moja ya haya madhara makubwa tuliyoyataja hapo yatatokea, unatakiwa kumuona daktari haraka ikiambatana na kusitisha matumizi ya videonge hivyo.

Maumivu hayo yanaweza kuashiria matatizo katika kibofu, ini, damu kuwa mabonge, shinikizo la damu au hata ugonjwa wa moyo.

Vijiti, vidonge, sindano kwa ajili ya uzazi wa mpango ni hatari kwa afya ya mwanamke

Mbaya zaidi hata wanaume wanaitwa huku wakiaaminisha watu njia ya hizo si kwa ajili ya wanawake tu . Madhara ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango huku wanawake wakisahau njia bora ya kupanga uzazi ni kutumia kondom na kalenda tu
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom