warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,375
Smile ulishaonanaga nao!!!!!!!mie Rio na Joel kuna kijiwe kimoja nawaonaga daily
Kuna jamaa mmoja alikuwa anakabandua ako ka rio,sasa kuna siku tulikuw washkaj kama wanne ivi,huyo basha wake akawa anaongea nae kwenye simu akamwambia rio wasalimie shemeji zako,kweli bhna tukaongea nae wote,dah mtoto anapiga lugha hatari ,sauti sasa na pozi nikachoka mwenyewe,uwa anamtoag sana mpunga jamaa,izo million moja mbil jamaa anazila sana kutok kwa rio
Last edited by a moderator: