Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Pengine ni wengi wangesema shida
lakini je shida ngapi zinakufanya mtembee na mamazenu waaliowazaa kisa ni mabosi wenu jamani
je mitembea nao wanaweza himili kumaliza shida zenu..??wapo wale wenzetu wana kadudu mtu akak jini mahaba
hao siongelei soln yao iko biafra ,,kumezuka kundi la vijana wengi sana wanatembea na mabosi wao hasa wakienda mikoani...hili si kwa watu wa kawaida tuu bali hadi kwenye mihimili ya nchi waliokabidhiwa madaraka badala ya kwenda na waume zao wanaishia kuliwa uroda na vingast
kama we una katabia hiki acha mwaya nakushauri sio wote wanaokaa kimya wamellaala wako kazini shauri zenu
lakini je shida ngapi zinakufanya mtembee na mamazenu waaliowazaa kisa ni mabosi wenu jamani
je mitembea nao wanaweza himili kumaliza shida zenu..??wapo wale wenzetu wana kadudu mtu akak jini mahaba
hao siongelei soln yao iko biafra ,,kumezuka kundi la vijana wengi sana wanatembea na mabosi wao hasa wakienda mikoani...hili si kwa watu wa kawaida tuu bali hadi kwenye mihimili ya nchi waliokabidhiwa madaraka badala ya kwenda na waume zao wanaishia kuliwa uroda na vingast
kama we una katabia hiki acha mwaya nakushauri sio wote wanaokaa kimya wamellaala wako kazini shauri zenu