Madereva Watanzania wana Corona zaidi ya Kenya? Siasa au Ukweli?

Mkuu hizo kelele zimeshatulizwa hutaona tena wakileta mdomo mdomo!
Serikali makini imeshamalizana nao!
Sahivi tunadunda tu na kufanya kazi..

Kwa kukurahisishia hizo propaganda zilikuwa na mlengo wake ambao umeugusia hapo juu ila wamekutana na kisiki cha mpingo..😅
 
Tunakatazwa kusema...

Huoni kwamba utoaji wa takwimu umesimama kabisa...


Cc: mahondaw
Takwimu za nini mkuu? Kwani we hauoni halo halisi ukianzia maeneo yanayokuzunguka?
Tunakatazwa kusema...

Huoni kwamba utoaji wa takwimu umesimama kabisa...


Cc: mahondaw
Takwimu za nini mkuu? Si unaona hali halisi ukianzia na jirani zako na wanaokuzunguka?
 
Ndio maana mnaambiwa kwanza uueleweni ugonjwa.

Kuumwa Corona sio kufa.
Kwenye Wangonjwa 100 watakao umwa Corona wa 30 ndio watapata dalili, 70 hawataonyesha dalili zozote. Kwenye hao 30, kati ya 1% to 3% ndio watafariki. 27% ya watakaokuwa na dalili watapona.

Sasa data ni nyingi sana nchi mbalimbali wanatoa. 70% au zaidi ya vifo ni watu wenye kuanzia miaka 60 na kuendelea.
Tanzania wastani wa kuishi ni miaka 50 na kitu.
Pia vifo vya corona vipo zaidi kwa wagonjwa wa presha, kisukari na kansa. Magonjwa hayo kwetu sio mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya wanaweza kua wanasema ukwel Ila tatizo vikawa vifaa inatakiwa vwajiulize Mara mbili mbili haiwezekan wakenya madereva wanatoka Tanzania ambapo walikaa wiki moja mpaka mbili wakienda kupimwa Corona mpakan kwao hawana Ila watanzania wanayo huon huu NI usanii?
Inawezekana vipi Tanzania kuwa na maambukizi mengi kiasi hiki na bado watu wakawa wazima? Je, no mbinu za kibiashara? Au mabeberu wapo kazini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
serikali yetu inapaswa ijitafakari sana na iache kuonea huruma majirani wanaotufanyia figisu
 
Mkuu hizo kelele zimeshatulizwa hutaona tena wakileta mdomo mdomo!
Serikali makini imeshamalizana nao!
Sahivi tunadunda tu na kufanya kazi..

Kwa kukurahisishia hizo propaganda zilikuwa na mlengo wake ambao umeugusia hapo juu ila wamekutana na kisiki cha mpingo..
Waendelee kufunga tu sisi tunasafirisha Samaki na JNIA inapokea watalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom