mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,449
- 36,817
Ndio alikufa na majuzi alionekana akicheza mpira,uzuri si unajua tena bongo tuna ma ventilators ya kutosha kila dispensary/hospital na health system yetu ni bora kuliko ya UK.
UK haina chochote ndio maana mpaka PM akala kabali.