Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
- Thread starter
- #41
madogo wakishanyoa vidu, wakawa na hela ya k Vanti, na vimafuta vya kuunga unga vya kuweka kwenye Alteza, basi wanaona dunia nzima ni yao...
Hahahaaa wewe Mkuu nimekukubali sana. Yaani hawa padogo wakisoma comments kama hizi ndipo watajitambua kumbe wao si lolote wala si chochote kwenye game ya kumiliki ma Private Transport..