Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 11,573
- 21,846
Nilichogundua madereva wa ist wengi wao ni washamba na hawajui magari,kuna siku nikakaona ka ist eti kanataka kuleta ligi na subaru legacy kitu kina twin turbo,binafsi nikajiuliza huyu mwenye ist anajua magari kweli 🤔Bora madereva wa Subaru kuliko wa IST hawa jamaa ni mapepe barabaran sijui shida Yao ni nini..
Madereva wa IST hawajiamini barabaran wao muda wote ni ku-overtake bila kuangalia nyuma na mbele