mli......Ni kwel nakumbuka nilikuwa na jamaa wangu mmoja hivii mshabiki wa Simba ana Altezza yake.
Yani alikuwa anapenda tunyanduane sana I remember Accidental Once tuli.... Kwnye gar yake huku Ac ikipuliza.
Kimsing I appreciate Altezza View attachment 1679699
Kumbe huyu jamaa ndo aliku*******a kwenye hiyo gari yake(Tezza) AccidentallyNi kwel nakumbuka nilikuwa na jamaa wangu mmoja hivii mshabiki wa Simba ana Altezza yake.
Yani alikuwa anapenda tunyanduane sana I remember Accidental Once tuli.... Kwnye gar yake huku Ac ikipuliza.
Kimsing I appreciate Altezza View attachment 1679699
Mwenye Tezza yake View attachment 1679774Ni kwel nakumbuka nilikuwa na jamaa wangu mmoja hivii mshabiki wa Simba ana Altezza yake.
Yani alikuwa anapenda tunyanduane sana I remember Accidental Once tuli.... Kwnye gar yake huku Ac ikipuliza.
Kimsing I appreciate Altezza View attachment 1679699
Tuheshimiane jama, mnapost picha yangu bila ridhaa yanguMwenye Tezza yake View attachment 1679774View attachment 1679775
HahahahaTuheshimiane jama, mnapost picha yangu bila ridhaa yangu
Ila wengi wao wana tabia zote mdau alizozitaja...
Nitatoa mfano halisi kilichotokea mwezi uliopita..
Tumeenda sehemu nikapaki usafiri wangu kama wengine walivyopaki kufuatana na maelekezo ya mlinzi wa pale..tuakaendelea na kilichotupeleka hapo..
Wakati naondoka nikakuta Alteza imepaki vibaya, sikuwezi kutoka..nikawaomba wahudumu wamwambie jamaa asogeze gari...mhudumu akarudisha jibu jamaa hajigusi wala hajibu kitu...
Meneja wa sehemu hiyo akaenda mwenye, kakanyanyuka kajamaa kamenyoa kiduku, mezani kameweka K vanti, suruali mnyonyo...kanavyotembea sasa nikadhani anakuja kuwasha Range Rover sport ya 2019.
Akawasha Alteza yake, akapiga resi kile kibuyu pale nyuma kikaharibu usikivu, basi akaipaki pembeni.....nikaondoka zangu..
Hawa watoto wakishaendesha hizo gari, wakazifunga vibuyu kwenye exhaust, wanahisi wameshamaliza maisha yote.
Wapi naweza pata Engine ya Altezza Yamaha 3SGE yenye 4 TransmissionUMOFIA KWENU!
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kupata maoni au mtizamo wa jamii kwa namna inavyowachukulia madereva wanoendesha magari aina ya SUBARU na ALTEZA hapa Tz.
Kwa kuanzia, mimi binafsi nawaona wengi wao kuwa ni:
1 - Vijana wa kiume
2 - Wanaendesha kwa 'rafu' sana.
3 - Over speeding hata kama anapokwenda ni karibu ama haparuhusu over speed
4 - Wapo arrogant/wakorofi/ hawanaga ustaarabu
5 - Wanapenda sana 'Ligi' za barabarani
6 - Wanapenda sana starehe/ kujirusha
7 etc...
Hayo ni kwa mtizamo wangu. Ukitoa mtizamo wako pia tunaweza kuwasaidia wachache ambao ni wasikivu wakabadilika, kupunguza ajali za barabarani na kuleta ustawi kwa jamii.
NAWASILISHA
Subaru forester sti 4cly inamkalisha huyo wa LC V8 vizuri tu.huko kwa Ferrari na buggati mbali sana mkuu, wafike kwanza level za v8
Wana sifa sanaVingi ni visoja ndio maana vinaogopwa mtaani..
Dude sana hilo. Unapata mzuka kabisa yani wa kuendelea kumwaga moto.Mimi mlio wa 1hd-fte unanikosha sana!