Madereva wanaoendesha magari aina ya Subaru na Alteza

Ni kwel nakumbuka nilikuwa na jamaa wangu mmoja hivii mshabiki wa Simba ana Altezza yake.
Yani alikuwa anapenda tunyanduane sana I remember Accidental Once tuli.... Kwnye gar yake huku Ac ikipuliza.
Kimsing I appreciate Altezza
IMG-20200807-WA0081.jpg
 
Ni kwel nakumbuka nilikuwa na jamaa wangu mmoja hivii mshabiki wa Simba ana Altezza yake.
Yani alikuwa anapenda tunyanduane sana I remember Accidental Once tuli.... Kwnye gar yake huku Ac ikipuliza.
Kimsing I appreciate Altezza View attachment 1679699
Kumbe huyu jamaa ndo aliku*******a kwenye hiyo gari yake(Tezza) Accidentally
Hongera sana mkuu
Screenshot_20210117-162610~2.jpg
 
Wengi wao ni Wala milungi pia
Ila wengi wao wana tabia zote mdau alizozitaja...


Nitatoa mfano halisi kilichotokea mwezi uliopita..

Tumeenda sehemu nikapaki usafiri wangu kama wengine walivyopaki kufuatana na maelekezo ya mlinzi wa pale..tuakaendelea na kilichotupeleka hapo..

Wakati naondoka nikakuta Alteza imepaki vibaya, sikuwezi kutoka..nikawaomba wahudumu wamwambie jamaa asogeze gari...mhudumu akarudisha jibu jamaa hajigusi wala hajibu kitu...

Meneja wa sehemu hiyo akaenda mwenye, kakanyanyuka kajamaa kamenyoa kiduku, mezani kameweka K vanti, suruali mnyonyo...kanavyotembea sasa nikadhani anakuja kuwasha Range Rover sport ya 2019.

Akawasha Alteza yake, akapiga resi kile kibuyu pale nyuma kikaharibu usikivu, basi akaipaki pembeni.....nikaondoka zangu..

Hawa watoto wakishaendesha hizo gari, wakazifunga vibuyu kwenye exhaust, wanahisi wameshamaliza maisha yote.
 
Kuna kikundi kinajiitaga team alteza vikisafirigi mwisho wa mwaka toka dar ni fujo tu njiani viko Kama 15 hivi kila sehemu vinalewa
 
UMOFIA KWENU!

Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kupata maoni au mtizamo wa jamii kwa namna inavyowachukulia madereva wanoendesha magari aina ya SUBARU na ALTEZA hapa Tz.

Kwa kuanzia, mimi binafsi nawaona wengi wao kuwa ni:

1 - Vijana wa kiume
2 - Wanaendesha kwa 'rafu' sana.
3 - Over speeding hata kama anapokwenda ni karibu ama haparuhusu over speed
4 - Wapo arrogant/wakorofi/ hawanaga ustaarabu
5 - Wanapenda sana 'Ligi' za barabarani
6 - Wanapenda sana starehe/ kujirusha
7 etc...

Hayo ni kwa mtizamo wangu. Ukitoa mtizamo wako pia tunaweza kuwasaidia wachache ambao ni wasikivu wakabadilika, kupunguza ajali za barabarani na kuleta ustawi kwa jamii.

NAWASILISHA
Wapi naweza pata Engine ya Altezza Yamaha 3SGE yenye 4 Transmission
 
Kuna dogo aliku alteza ya blue, nyuma kwenye boot, wemejengea lichuma mfano wa goli vile.
Pale Tiptop kituo cha mwendo kasi, mimi nikiwa napita, njia kulia yeye anapita njia kushoto, pale kituoni akakuta Daladala imesimama, akaingia upande wangu gafla bila hata ishara yeyote.
Aliikwangua gari yangu na kuniachia rangi yake ya blue, na baada ya kutenda kosa alikimbia.
Kweli wengi wanafujo barabarani hawana tahadhari, nazani ule muungurumo wa gari zao unawazingua.
 
Ile kelele ndo mzuka sasa. Unaendeshaje gari imetuliaa. We mwenyewe ukiwa faragha si unapenda bebe atoe miguno? Basi ndo hivo hivo kwetu pia na subaruu na makeleelee
 
Vitu tofauti tofauti vya after market unabadilisha exhaust, unaweka muffler, unatia Blow off valve (BOV) unaanza kumwaga motoo tuu na makelele ya kutosha
 
Back
Top Bottom