Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,916
Kumbe wanalipa vizuri hiviMillioni 1 gross, wakikata chao unabakia na 870,000/= chenchi ya kumpa mkeo
Kumbe wanalipa vizuri hiviMillioni 1 gross, wakikata chao unabakia na 870,000/= chenchi ya kumpa mkeo
Eeh mkuu omba kazi nzuri sana hioKumbe wanalipa vizuri hivi
Mimi kwangu hapana mkuu,Eeh mkuu omba kazi nzuri sana hio
Kwanini mkuu, huwezi kupiga kirungu cha LX nini?Mimi kwangu hapana mkuu,
Hamna mkuu,nina kabiashara kangu nimejishikiza.Kwanini mkuu, huwezi kupiga kirungu cha LX nini?
Dah basi heri mkuuHamna mkuu,nina kabiashara kangu nimejishikiza.
Mwanangu, mi natamani sana, ila utakuta vigezo kibao, mi mwenyewe four felia... Leseni ninayo kubwa tu na cheti chake.. Ishu watakua na vigezo vingine ambavyo sina.. Hususan elimu asee apo itakua nomaKwanini mkuu, huwezi kupiga kirungu cha LX nini?
Kwanini mkuu, huwezi kupiga kirungu cha LX nini?
Hio C na E, Nazijambia tu kwenye Wallet, kazi hakuna, natafuta mpaka natamani kuingia hata nyumba binafsiHalafu mostly sidhani kama ni LX mkuu...! Na ndio mana naona wameweka C & E ikiwa ni kigezo cha DL kiongozi.
Sio kuwa hakuna LX zipo ila yabidi uwe vizuri pia kwenye Truck chief...!
Hio C na E, Nazijambia tu kwenye Wallet, kazi hakuna, natafuta mpaka natamani kuingia hata nyumba binafsi
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Mimi nina cheti cha udereva tu kutoka veta...Hongera aisee, kivipi kazi hakuna wakati zinatangazwa kila siku kaka au hauna cheti cha ufundi...? Trade Test..?
Mimi nina cheti cha udereva tu kutoka veta...
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hivi ukiwa na C1, C2, C3 , D, na E , bila kuwa na C kavu sifa unakuwa umekizi vigezo ??Hio C na E, Nazijambia tu kwenye Wallet, kazi hakuna, natafuta mpaka natamani kuingia hata nyumba binafsi
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hizo C zingine ni vigezo tosha, ila C kavu ndio kubwa kuliko zote... Na hio kuipata lazima usomeHivi ukiwa na C1, C2, C3 , D, na E , bila kuwa na C kavu sifa unakuwa umekizi vigezo ??
Hahahahaha, sasa hapa nilipo sina kazi nataabika hivi.. Afu tena nianze kutafuta vyeti, si nitarudi kijijini... Mana njia zote za kupata vyeti, lazima usome kaka... Sasa inakuwaje apo.... Nyie nichekieni hata pikapu nipate rizikiDaaaaah, ungekuwa na cha four na cha ufundi usingetaabika kihivyo mkuu. Fanya mchakato wa kupata hivyo vitu hata kama utatumia miaka mitatu au minne ila matunda yake utayaona mkuu.