Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam
SIFA ZAO
★Wanajua ufundi wa magari
★Wamepitia mafunzo ya udereva
★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu
★wastaarabu
★Wasafi
Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva kupitia Email hapo chini.
jobsfacilitators@gmail.com
Kwa gari ya mkataba hesabu yake ni Tsh 175,000/= kwa wiki.nahuduma zote za service zitafanya dereva . Kwa mda wa mwaka mmoja na nusu (pia itategemea na hali ya gari kwa mda huo) baada ya hapo gari inamilikishwa kwa dereva. Kwa mda huo mwenye gari utakuwa umeshapatiwa jumla ya kiasi cha Tsh13,000,000/=.
Kwa gari ya hesabu .hesabu yake ni Tsh175,000/= kwa wiki. Huduma ya service itafanywa na mmiliki wa gari isipokuwa pancha na upepo wa tairi.Hii haina mda maalumu wa ukomo.
Gari zinazohitajika ni Ist,passo,vitz,Ractis,Raum,Ipsum na zingine ndogo ndogo
Wasiliana na sisi kupitia Email hapo chini. Tukuunganishe moja kwa moja na madereva wetu.
jobsfacilitators@gmail.com
Asante.
SIFA ZAO
★Wanajua ufundi wa magari
★Wamepitia mafunzo ya udereva
★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu
★wastaarabu
★Wasafi
Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva kupitia Email hapo chini.
jobsfacilitators@gmail.com
Kwa gari ya mkataba hesabu yake ni Tsh 175,000/= kwa wiki.nahuduma zote za service zitafanya dereva . Kwa mda wa mwaka mmoja na nusu (pia itategemea na hali ya gari kwa mda huo) baada ya hapo gari inamilikishwa kwa dereva. Kwa mda huo mwenye gari utakuwa umeshapatiwa jumla ya kiasi cha Tsh13,000,000/=.
Kwa gari ya hesabu .hesabu yake ni Tsh175,000/= kwa wiki. Huduma ya service itafanywa na mmiliki wa gari isipokuwa pancha na upepo wa tairi.Hii haina mda maalumu wa ukomo.
Gari zinazohitajika ni Ist,passo,vitz,Ractis,Raum,Ipsum na zingine ndogo ndogo
Wasiliana na sisi kupitia Email hapo chini. Tukuunganishe moja kwa moja na madereva wetu.
jobsfacilitators@gmail.com
Asante.