mdesi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,338
- 2,075
Naomba niende moja kwa moja kwenye kero za madereva wa UBER, labda ni pekeyangu niliyoona hili kwa Hawa madereva, lakini nimeshuhudia Mara nyingi Sana kila siku, yaani wakikutangulia mbele wanatembea speed ya 10km/h, utakuta watu asubuhi wanawahi kazini traffic anaita magari kwa uharaka wao hilo hawajali. Mnaudhi Sana mnaendesha utadhani mnajifunza? Kuendesha mwendo wa kinyonga barabarani bila sababu ni kuwakosea watumiaji wengine.
Ukikodi Uber ikiwahishe sehemu afadhali uchukue Bajaj tu hawa Uber achana nao wachukue km hunaharaka vinginevyo unaweza mzaba vibao Dereva. Kunasiku nimeoanda Uber niwahi gongo la mboto, yule Dereva akaanza kulifuata nyuma Lori la taka ili njia ya airport wakati ni two way trafic.
Msipobadirika mtajikuta mnapaki vigari vyenu watu wanaamua kuchukua Bajaj tu au bodaboda. Mnakera Sana!
Ukikodi Uber ikiwahishe sehemu afadhali uchukue Bajaj tu hawa Uber achana nao wachukue km hunaharaka vinginevyo unaweza mzaba vibao Dereva. Kunasiku nimeoanda Uber niwahi gongo la mboto, yule Dereva akaanza kulifuata nyuma Lori la taka ili njia ya airport wakati ni two way trafic.
Msipobadirika mtajikuta mnapaki vigari vyenu watu wanaamua kuchukua Bajaj tu au bodaboda. Mnakera Sana!