Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,480
- 35,371
Dodoma sasa ni HQ ya Serikali hii ya JMT. Sijabahatika kuona umuhimu wa moja kwa moja kwa wananchi tangu Dodoma iwe makao makuu.
Tuje kwenye point, madereva wa wizara mbalimbali na taasisi mbalimbali zilizohama Dar na kuhamia Dodoma ndio wanufaika wakubwa wa zoezi hili.
Ukizingatia mishahara ya madereva si mikubwa ila hizi trip za Dar -Dodoma, Dodoma - Dar zinaziba magape kwa madereva.
Tuje kwenye point, madereva wa wizara mbalimbali na taasisi mbalimbali zilizohama Dar na kuhamia Dodoma ndio wanufaika wakubwa wa zoezi hili.
Ukizingatia mishahara ya madereva si mikubwa ila hizi trip za Dar -Dodoma, Dodoma - Dar zinaziba magape kwa madereva.