Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,385 Feb 3, 2018 #3 speed kubwa mzigo alionao container likayumba na kupoteza balance..
Mitha JF-Expert Member Jun 26, 2016 704 1,010 Feb 3, 2018 #4 Matairi ya nyuma yametofautiana size kati ya difu na difu, au nimeona vibaya.
ITEGAMATWI JF-Expert Member Jan 26, 2012 5,310 4,040 Feb 3, 2018 #8 Lili feli kupanda mlima likaserereka kinyumenyume
tycoonff JF-Expert Member Dec 29, 2013 918 1,269 Feb 3, 2018 #9 Huyo aliminya breki kali halafu akachezesha steering (usukani) labda akiwa anakwepa kitu.
dullah lakumo burra Member Jan 15, 2018 80 121 Feb 3, 2018 #10 Jambazi said: Click to expand... Halijaanguka mkuu
Jambazi JF-Expert Member Jan 18, 2014 16,642 18,642 Feb 3, 2018 Thread starter #11 Mokoyo said: Sio Tanzania Click to expand... Mbalizi (january 2018)
mpatto JF-Expert Member Apr 28, 2017 766 1,027 Feb 3, 2018 #12 LAMBOFGOD said: photoshop hiyo acha kudanganya Click to expand... Sio photoshop mkuu, Mimi pia nimeliona hill gari eneo LA mlima iwambi, katikati ya mbalizi na iwambi mkoa wa mbeya
LAMBOFGOD said: photoshop hiyo acha kudanganya Click to expand... Sio photoshop mkuu, Mimi pia nimeliona hill gari eneo LA mlima iwambi, katikati ya mbalizi na iwambi mkoa wa mbeya