Madereva wa magari ya viongozi wakubwa Serikalini taabu sana mtaani

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Kwa kawaida dereva ni mtu wa kutumwa tu na kuongozwa kama bendera inayofuata upepo uendeko! Ni mtu asiye na sekta rasmi.Muda na saa yoyote anatumwa kule au anatumwa pale!

Madereva wa viongozi wakubwa huwa wasumbufu sana huko mtaani wakiwa na magari ya Serikali. Ukikutana nao bar au mtaani kwenye car wash utamjua tu.

Hawa madereva wa magari ya wakubwa hasa 'presidental posts' taabu sana.

Serikali sometimes inachosha sana hasa watu wenye ulimbukeni na ambao hawajasoma. Wale wasio na pesa Serikalini huishi maisha ya kupretend sana.

Leo nadeal na madereva wa magari ya Serikali [STK /STL/SU/SM n.k]:

Ukimkuta dereva anayemwendesha (Naibu) Waziri au Afisa yeyote mkubwa Serikalini huwa wanapretend kuwa wao ndo mabosi. Hasa ukiwakuta wamevaa suti na wana vitambi vyao vya kuridhika na safari za 'wakubwa'.

Anaweza akafika mahari fulani anatoa command kama yeye ndo bosi. Au huko barabarani ndo kabisa. Wanaovertake hovyo sana barabarani bila kujali status ya eneo husika.

Akimkuta mwanamke anaongea nae as if yeye ndiye boss.

Madereva hawa huwa wepesi sana wa kujisahau sana.
 
Ila kwenye kuover-take hawa jamaa ni shida mno,kuna dereva mmoja wa dawasco anendesha pickup hilux tupo nae huku chamazi huyu jamaa rafu sijawi ona
 
Waache tu na misifa yao, kiboko yao ni kwenye highway watakufa sana, na hivi wanalala dar halafu ofisi za maboss wao ziko Dodoma, watakufa sana wao na maboss zao wasipojirekebisha, sisemi kwa ubaya ila ndio ukweli, manake ukikutana na STK huko barabarani ni balaa

Kwa kawaida dereva ni mtu wa kutumwa tu na kuongozwa kama bendera inayofuata upepo uendeko! Ni mtu asiye na sekta rasmi.Muda na saa yoyote anatumwa kule au anatumwa pale!

Madereva wa viongozi wakubwa huwa wasumbufu sana huko mtaani wakiwa na magari ya Serikali. Ukikutana nao bar au mtaani kwenye car wash utamjua tu.

Hawa madereva wa magari ya wakubwa hasa 'presidental posts' taabu sana.

Serikali sometimes inachosha sana hasa watu wenye ulimbukeni na ambao hawajasoma. Wale wasio na pesa Serikalini huishi maisha ya kupretend sana.

Leo nadeal na madereva wa magari ya Serikali [STK /STL/SU/SM n.k]:

Ukimkuta dereva anayemwendesha (Naibu) Waziri au Afisa yeyote mkubwa Serikalini huwa wanapretend kuwa wao ndo mabosi. Hasa ukiwakuta wamevaa suti na wana vitambi vyao vya kuridhika na safari za 'wakubwa'.

Anaweza akafika mahari fulani anatoa command kama yeye ndo bosi. Au huko barabarani ndo kabisa. Wanaovertake hovyo sana barabarani bila kujali status ya eneo husika.

Akimkuta mwanamke anaongea nae as if yeye ndiye boss.

Madereva hawa huwa wepesi sana wa kujisahau sana.
 
Kwa kawaida dereva ni mtu wa kutumwa tu na kuongozwa kama bendera inayofuata upepo uendeko! Ni mtu asiye na sekta rasmi.Muda na saa yoyote anatumwa kule au anatumwa pale!

Madereva wa viongozi wakubwa huwa wasumbufu sana huko mtaani wakiwa na magari ya Serikali. Ukikutana nao bar au mtaani kwenye car wash utamjua tu.

Hawa madereva wa magari ya wakubwa hasa 'presidental posts' taabu sana.

Serikali sometimes inachosha sana hasa watu wenye ulimbukeni na ambao hawajasoma. Wale wasio na pesa Serikalini huishi maisha ya kupretend sana.

Leo nadeal na madereva wa magari ya Serikali [STK /STL/SU/SM n.k]:

Ukimkuta dereva anayemwendesha (Naibu) Waziri au Afisa yeyote mkubwa Serikalini huwa wanapretend kuwa wao ndo mabosi. Hasa ukiwakuta wamevaa suti na wana vitambi vyao vya kuridhika na safari za 'wakubwa'.

Anaweza akafika mahari fulani anatoa command kama yeye ndo bosi. Au huko barabarani ndo kabisa. Wanaovertake hovyo sana barabarani bila kujali status ya eneo husika.

Akimkuta mwanamke anaongea nae as if yeye ndiye boss.

Madereva hawa huwa wepesi sana wa kujisahau sana.
Hiyo inaendana na hulka ya bosi wake! Bosi akiwa mnyenyekevu, dereva hawezi kuwa kinyume chake,kwani anajua habari zikimfikia bosi wake, kibarua kitaota nyasi.
 
halafu wote kama wanafanana,huwa siamini kama leseni ndio huwa kigezo cha wao kupata ajira hizo...
 
Wengi wao shule hawana ndio mana hawapendani wanapigana vita wao kwa wao sasa wakipata vimaisha kiduchu ni shida.... hiyo ndio hulka ya mtu asiye na shule kichwani
 
Back
Top Bottom