Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Fortunatus Muslimu amesema kwamba madereva wawili wa mabasi ya Rungwe na Happy Nation wamekamatwa baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha madereva wakishindana 'LIGI'
Pia soma > Hii kamari ya kubetia mabasi ipoje?
Amesema
Hili suala la madereva ambao mmeona clip inatembea ikionesha Mabasi ya Rungwe na Happy Nation wanakimbizana ili kuona nani wa kwanza kufika kwenye stendi fulani, tumekuja kubaini hawa madereva wali-bet hiki kitendo tunakikemea kwa nguvu
Nimechukua hatua kali sana, tumewakamata wote na wako ndani na tumeandaa utaratibu wa kisheria ikiwemo kuwafikisha Mahakamani, Sheria inanipa uwezo wa kuwaondolea sifa wa kuendesha haya magari ya mizigo na biashara na kwa miezi 6 hawa hawatokuwa barabarani wakiendesha Mabasi wala Malori labda hivi vigari vidogo.
Pia soma > Hii kamari ya kubetia mabasi ipoje?
Amesema
Hili suala la madereva ambao mmeona clip inatembea ikionesha Mabasi ya Rungwe na Happy Nation wanakimbizana ili kuona nani wa kwanza kufika kwenye stendi fulani, tumekuja kubaini hawa madereva wali-bet hiki kitendo tunakikemea kwa nguvu
Nimechukua hatua kali sana, tumewakamata wote na wako ndani na tumeandaa utaratibu wa kisheria ikiwemo kuwafikisha Mahakamani, Sheria inanipa uwezo wa kuwaondolea sifa wa kuendesha haya magari ya mizigo na biashara na kwa miezi 6 hawa hawatokuwa barabarani wakiendesha Mabasi wala Malori labda hivi vigari vidogo.