Architect E.M
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,211
- 1,360
Za jioni wakuu,
Madereva wa hii kampuni wako very rough. Kuna siku mmoja aliwahi kuikwaruza gari yangu halafu akakimbia..
Leo nimeshuhudia overtake mbaya sana kwenye corner.Basi no. T 575 BVD ikitokea Babati kuelekea Arusha inaovertake lorry lenye kontena 40 ft kwenye kona kali na alama za barabara zinaonesha kabisa hairuhusiwi kuovertake eneo hilo. Oneni picha niliyoattach.
Madereva wa kampuni hii kuweni makini na mjirekebishe. Mmebeba roho za watanzania.
Askari polisi pia fuatilieni hili jambo. Dereva muhusika achukuliwe hatua za kisheria.
Madereva wa hii kampuni wako very rough. Kuna siku mmoja aliwahi kuikwaruza gari yangu halafu akakimbia..
Leo nimeshuhudia overtake mbaya sana kwenye corner.Basi no. T 575 BVD ikitokea Babati kuelekea Arusha inaovertake lorry lenye kontena 40 ft kwenye kona kali na alama za barabara zinaonesha kabisa hairuhusiwi kuovertake eneo hilo. Oneni picha niliyoattach.
Madereva wa kampuni hii kuweni makini na mjirekebishe. Mmebeba roho za watanzania.
Askari polisi pia fuatilieni hili jambo. Dereva muhusika achukuliwe hatua za kisheria.