xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Wakuu habari zenu
Ni matumaini yangu mu wazima.
Leo nimekaa nikakumbuka baadhi ya vijistory vya kijiweni kuhusu vimbwanga vinavyotokea mabarabarani hususani safari za mikoani na nje ya nchi ambazo mara nyingi hufanyika mida ya usiku.
Vimbwanga ni vingi kama kukuta mawe yamepangwa barabarani, kusinzia gafla ushatoka nje ya barabara, kufatiliwa na gari flan isiyoeleweka kwa muda mrefu.
Madereva binafsi, wa IT, wa Transit, wa Matanker sogeeni hapa mtiririke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni matumaini yangu mu wazima.
Leo nimekaa nikakumbuka baadhi ya vijistory vya kijiweni kuhusu vimbwanga vinavyotokea mabarabarani hususani safari za mikoani na nje ya nchi ambazo mara nyingi hufanyika mida ya usiku.
Vimbwanga ni vingi kama kukuta mawe yamepangwa barabarani, kusinzia gafla ushatoka nje ya barabara, kufatiliwa na gari flan isiyoeleweka kwa muda mrefu.
Madereva binafsi, wa IT, wa Transit, wa Matanker sogeeni hapa mtiririke
Sent using Jamii Forums mobile app