Madereva na simu

imma.one

JF-Expert Member
Sep 10, 2011
542
37
Inakera sana na mara nyingi ndo huwa chanzo cha ajali nyingi za barabarani.
Unakuta devera huku anaendesha tena mwendo kasi huku anatuma sms jamani inawezekana kweli?
Tuwakemee sisi kama abiria tuwakemee kwani ni maisha yetu.
 
hio ni kwe gari binafsi au basi la abiria?
Ni kwa magari ya aina zote, binafsi na abiria. Mwezi wa tano nlikuwa ninatoka Morogoro kuelekea DSM katika basi la abiria na dereva kila baada ya dakika chache alikuwa anapokea, kupiga simu na kuandika sms.
 
Hasa ni mabasi ya abiria hususani daladala.
Na heri la mtu binafsi akifa si kimpango wake?
 
Mwingine anavuta sigara, halaf wakati huo huo anaongea na simu
 
Pole kwa kukerwa.
Off topick: mzima yakhe? Kloro na uporoto je? Hawajambo?
Back to topick: ni kweli wako madereva wanaotuma sms huku wanaendesha, niliwahi kushuhudia abiria wakimshusha dereva na kumpa makofi ya ukweli kwa sababu alikuwa busy na cm, akakoswa koswa na dereva mwenzie! Dawa ni kumshusha na kumpa kipigo ili iwe fundisho kwake na kwa wenzie wenye hizo tabia.
 
Off topick: mzima yakhe? Kloro na uporoto je? Hawajambo?<br />
Back to topick: ni kweli wako madereva wanaotuma sms huku wanaendesha, niliwahi kushuhudia abiria wakimshusha dereva na kumpa makofi ya ukweli kwa sababu alikuwa busy na cm, akakoswa koswa na dereva mwenzie! Dawa ni kumshusha na kumpa kipigo ili iwe fundisho kwake na kwa wenzie wenye hizo tabia.
<br />
<br />
khaaa! Mi mzima ila kloro na uporoto ni members wa jf?
 
Inakera sana na mara nyingi ndo huwa chanzo cha ajali nyingi za barabarani.<br />
Unakuta devera huku anaendesha tena mwendo kasi huku anatuma sms jamani inawezekana kweli?<br />
Tuwakemee sisi kama abiria tuwakemee kwani ni maisha yetu.
<br />
<br />
We si umesema ni FreeMason sa inakuwaje unaamini kuwa ajali nyingi husababshwa na uzembe waeither madrivers au mamlaka husika?
 
Ahh taratibu wewe hakuna mtu wala mahali nimethibitisha kuwa mimi ni freemasons.
May be am not freemasonz.
 
Inakera sana na mara nyingi ndo huwa chanzo cha ajali nyingi za barabarani.<br />
Unakuta devera huku anaendesha tena mwendo kasi huku anatuma sms jamani inawezekana kweli?<br />
Tuwakemee sisi kama abiria tuwakemee kwani ni maisha yetu.
<br />
<br />
huo muda wa kuwakemea uko wapi. Watakuelewa ndg.
 
Back
Top Bottom