Ni kwa magari ya aina zote, binafsi na abiria. Mwezi wa tano nlikuwa ninatoka Morogoro kuelekea DSM katika basi la abiria na dereva kila baada ya dakika chache alikuwa anapokea, kupiga simu na kuandika sms.hio ni kwe gari binafsi au basi la abiria?
lakini inategemea hyo siku imefika namna gani???Cku ikifka imefka 2.ucogope
Off topick: mzima yakhe? Kloro na uporoto je? Hawajambo?Pole kwa kukerwa.
<br />Off topick: mzima yakhe? Kloro na uporoto je? Hawajambo?<br />
Back to topick: ni kweli wako madereva wanaotuma sms huku wanaendesha, niliwahi kushuhudia abiria wakimshusha dereva na kumpa makofi ya ukweli kwa sababu alikuwa busy na cm, akakoswa koswa na dereva mwenzie! Dawa ni kumshusha na kumpa kipigo ili iwe fundisho kwake na kwa wenzie wenye hizo tabia.
Ooh! Very sorry mpendwa, nimesahau kumbe hao ni membaz wa facebook!.<br /><br />
<br /><br />
khaaa! Mi mzima ila kloro na uporoto ni members wa jf?
<br />Inakera sana na mara nyingi ndo huwa chanzo cha ajali nyingi za barabarani.<br />
Unakuta devera huku anaendesha tena mwendo kasi huku anatuma sms jamani inawezekana kweli?<br />
Tuwakemee sisi kama abiria tuwakemee kwani ni maisha yetu.
<br />Inakera sana na mara nyingi ndo huwa chanzo cha ajali nyingi za barabarani.<br />
Unakuta devera huku anaendesha tena mwendo kasi huku anatuma sms jamani inawezekana kweli?<br />
Tuwakemee sisi kama abiria tuwakemee kwani ni maisha yetu.