FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,023
- 40,693
Maana zile barabara za mwendokasi ni njia moja na zina kingo pembeni, ikikuharibikia hapo huwezi kuisukuma pembeni na gari za nyuma haziwezi kupita. Tuache kutumia hizo barabara maana tuna haribu utaratibu, hivi wote tukipita hapo itakuwaje?