wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Mwache atakuwa wa demo kwa raia wenzieMchome gari zao...
Embu kuwa serious kidogo mkuu....
Mwache atakuwa wa demo kwa raia wenzieMchome gari zao...
Embu kuwa serious kidogo mkuu....
Hamna bhana wale walikuwa ndio viongozi wa kiroho wa kijeshintafurahi ukionyesha mfano wewe!! watakuonyesha mazoezi ya msituni ambapo umeachwa pori la wanyama wakali na una kisu tu! halafu mvua inanyesha na kuna radi! mgongoni una mzigo wa kilo 65 na chakula pekee umepewa nyama mbichi
jana nimewaona wapo kwenye difenda kama 6 hiv wamevaa mask na wana mashine za hatari mkononi! hao sio polisi baba hawaulizagi mara mbili
Mkuu, tofautisha R na L. Pia ulipaswa kutumia neno Ajali na sio Hajari.
Ujasiri wakutia kiberiti garii ya jeshi unao? Tuanziee hapooKwa muda mrefu nimekuwa nikiona uendeshaji wa magari wa hovyo kabisa hapa Dar es salaam unaofanywa na askari jeshi (JWTZ).
Miezi kadhaa nyuma nilishuhudia gari la jeshi likimpuuza askari barabarani pale Tazara na kwenda kuparamia magari ya watu, Mungu ni mwema hakuna aliyepoteza maisha.
Leo nikielekea kazini asubuhi, tukiwa katika foleni gari la jeshi lilitanua nakuanza kukwaruza magari ya watu likiwemo lakwangu, chakusikitisha dereva wake hakuonesha kujari wala kusimama.
Najiuliza maswari, hawa watu wanenda shule za udereva tofauti na civilians?
Je, wanafundishwa kufanya uhuni huu mafunzoni?
Nivipi siku tukianza kuwaadhibu wenyewe au kuchoma magari yao kama tunavyochomeana raia tukisababisha hajari kiuzembe?
Em fanya hivyo aisee..and dont forget to tell us the tale!Kwa muda mrefu nimekuwa nikiona uendeshaji wa magari wa hovyo kabisa hapa Dar es salaam unaofanywa na askari jeshi (JWTZ).
Miezi kadhaa nyuma nilishuhudia gari la jeshi likimpuuza askari barabarani pale Tazara na kwenda kuparamia magari ya watu, Mungu ni mwema hakuna aliyepoteza maisha.
Leo nikielekea kazini asubuhi, tukiwa katika foleni gari la jeshi lilitanua nakuanza kukwaruza magari ya watu likiwemo lakwangu, chakusikitisha dereva wake hakuonesha kujari wala kusimama.
Najiuliza maswari, hawa watu wanenda shule za udereva tofauti na civilians?
Je, wanafundishwa kufanya uhuni huu mafunzoni?
Nivipi siku tukianza kuwaadhibu wenyewe au kuchoma magari yao kama tunavyochomeana raia tukisababisha hajari kiuzembe?
Wewe unajuaje Kama Kuna Vita mahali au haipo unataka wakutangazie yaweza kuwa iko stage ya chini wanawahiNatamani sana hii hbari imfikie waziri wao Hon Mwinyi ili awape nasaha namna bora ya ku-behave wakati wa vita na usio wa vita.
Inaweza kusaidia sana.
Inakuaj Kamanda ?Simple tu hujui majukumu ya police na wanajeshi.OVA
Hamtauana atakuua kwa usalama wa Taifa.!Hapo tutauwana. Labda kama kuna vita.
Jitahidi kusoma sheria mkuu, Kuna kitu kinaitwa 'ground of arrest' ktk CPA ukisoma hapo nahisi utarudi ufute ulicho andika.We jamaa hivi wanajeshi wana jukumu la kukimbiza jambazi?
Jaribu uone,ukiona gar la jesh pisha,unajuaje pengine kabeba mabomu au kuna mission anawaiKwa muda mrefu nimekuwa nikiona uendeshaji wa magari wa hovyo kabisa hapa Dar es salaam unaofanywa na askari jeshi (JWTZ).
Miezi kadhaa nyuma nilishuhudia gari la jeshi likimpuuza askari barabarani pale Tazara na kwenda kuparamia magari ya watu, Mungu ni mwema hakuna aliyepoteza maisha.
Leo nikielekea kazini asubuhi, tukiwa katika foleni gari la jeshi lilitanua nakuanza kukwaruza magari ya watu likiwemo lakwangu, chakusikitisha dereva wake hakuonesha kujari wala kusimama.
Najiuliza maswari, hawa watu wanenda shule za udereva tofauti na civilians?
Je, wanafundishwa kufanya uhuni huu mafunzoni?
Nivipi siku tukianza kuwaadhibu wenyewe au kuchoma magari yao kama tunavyochomeana raia tukisababisha hajari kiuzembe?
Jaribu uchome gari la Jeshi harafu uone kitakachokupata,epukeni kuweka siasa katika hizo Taasisi,Kwa muda mrefu nimekuwa nikiona uendeshaji wa magari wa hovyo kabisa hapa Dar es salaam unaofanywa na askari jeshi (JWTZ).
Miezi kadhaa nyuma nilishuhudia gari la jeshi likimpuuza askari barabarani pale Tazara na kwenda kuparamia magari ya watu, Mungu ni mwema hakuna aliyepoteza maisha.
Leo nikielekea kazini asubuhi, tukiwa katika foleni gari la jeshi lilitanua nakuanza kukwaruza magari ya watu likiwemo lakwangu, chakusikitisha dereva wake hakuonesha kujari wala kusimama.
Najiuliza maswari, hawa watu wanenda shule za udereva tofauti na civilians?
Je, wanafundishwa kufanya uhuni huu mafunzoni?
Nivipi siku tukianza kuwaadhibu wenyewe au kuchoma magari yao kama tunavyochomeana raia tukisababisha hajari kiuzembe?
Hawa jamaa wa maselela hii njia wengi sio wazima kabisa anaweza kuwa anakuja upande wako kakaa kwenye chaki nyeupe inabidi utoke barabaraniWengi wao bangi tu.
Wapo madereva wa jeshi wasikivu na wastaarabu sana ila ukikutana na mvuta bangi lazima atakua na fujo za kipuuzi.
Ni kama madereva raia pia wapo wapuuzi na wavuta bangi utakuta full vurugu, angalia wale wabeba mchanga kutoka Boko, Bunju n.k wengi wao machizi tu kwa sababu ya bangi
Bangi sio pombe????Wengi wao bangi tu.
Wapo madereva wa jeshi wasikivu na wastaarabu sana ila ukikutana na mvuta bangi lazima atakua na fujo za kipuuzi.
Ni kama madereva raia pia wapo wapuuzi na wavuta bangi utakuta full vurugu, angalia wale wabeba mchanga kutoka Boko, Bunju n.k wengi wao machizi tu kwa sababu ya bangi