Davie mosha anasema anapata tabu kwani ni gari alilolinunua kwa pesa nyingi 1 billioni kutoka kwa mtoto wa bakhresa na halina hata miezi minne toka anunue
My take
Huyu jamaa ni nani hasa?
Ana kampuni ipi? Ina dili na nini?
mkuu cheki hiyo link utapata kumjua
Delina Group Enterprises (DGE) - Official Website
gari ya bilion moja si angeagiza kiwandani ikaletwa kwa ndege kuliko kununua gari ya bilion moja mkononi mwa mtu.. mkuu mi siamini kitu kama hicho mpaka naingia kwenye pembe 4
inawezekana kuna mtu wake wa karibu kaniambia kuwa jamaa wa bakhresa alivyoinunua insurance yake alilipia mill 600
so inawezekana kabisa