killer whale
Member
- Nov 9, 2017
- 60
- 19
Tunauza madera ya kutoka mombasa na yenye mitandio mikubwa.
Bei ni Tsh 14,000/=
Tupo Dar 0659469663
Bei ni Tsh 14,000/=
Tupo Dar 0659469663
Ule mzigo ulontumia kwa gar la kilimanjaro umefika salama nashkuru..naomba niwekee mengine 10 alaf ntumie pich nichague..mana nmekuchek wasap hujafungua txt
Duh me huwa nanunua kwa huyo jamaa aloleta uzi hapa au mm ctakiwi kutangaza humu?Madera toka Mombasa yanauzwa
Madera
Teh nmependa hii style yako ya biashara, unajifungulia uzi mwenyewe, na kujishukuru kwa kutumiwa mzigo,hii kiboko haki a mama....umesahau kuchange namba ya simu
HahahahhaMadera toka Mombasa yanauzwa
Madera
Teh nmependa hii style yako ya biashara, unajifungulia uzi mwenyewe, na kujishukuru kwa kutumiwa mzigo,hii kiboko haki a mama....umesahau kuchange namba ya simu
Biashara njema mwayaDuh me huwa nanunua kwa huyo jamaa aloleta uzi hapa au mm ctakiwi kutangaza humu?
Noma sana....Madera toka Mombasa yanauzwa
Madera
Teh nmependa hii style yako ya biashara, unajifungulia uzi mwenyewe, na kujishukuru kwa kutumiwa mzigo,hii kiboko haki a mama....umesahau kuchange namba ya simu
KaribuBiashara njema mwaya
Ule mzigo ulontumia kwa gar la kilimanjaro umefika salama nashkuru..naomba niwekee mengine 10 alaf ntumie pich nichague..mana nmekuchek wasap hujafungua txt
kausha Evelyn Salt, ila nimecheka sana tu.Madera toka Mombasa yanauzwa
Madera
Teh nmependa hii style yako ya biashara, unajifungulia uzi mwenyewe, na kujishukuru kwa kutumiwa mzigo,hii kiboko haki a mama....umesahau kuchange namba ya simu
Cha msingi ni kuwa huna nia ya kununua full stop..ungekuwa na haja ya bidhaa wala usingejali kuhusu tangazo au njia iliyotumika kutangaza
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Wewe una multiple IDs sasa ulichokosea ni kuweka namba ya simu ile ile.
Alafu kingine bei umeweka ile ile.
Mkuu JF sio Facebook page
Madera toka Mombasa yanauzwa
Mm nna akaunt jf na mke wang ana akaunt..mm nlikuwa tanga kwa muda nikamtumia mzigo mke wang dar ambaye yy pia anatangaza humu jf na huwa tunaweka namba ya mke wang na ya kwangukausha Evelyn Salt, ila nimecheka sana tu.
Mm nna akaunt jf na mke wang ana akaunt..mm nlikuwa tanga kwa muda nikamtumia mzigo mke wang dar ambaye yy pia anatangaza humu jf na huwa tunaweka namba ya mke wang na ya kwangu
Kumbe we ni mwanaumeMm nna akaunt jf na mke wang ana akaunt..mm nlikuwa tanga kwa muda nikamtumia mzigo mke wang dar ambaye yy pia anatangaza humu jf na huwa tunaweka namba ya mke wang na ya kwangu
Cha msingi ni kuwa huna nia ya kununua full stop..ungekuwa na haja ya bidhaa wala usingejali kuhusu tangazo au njia iliyotumika kutangaza
Acha uwongo wewe loooh!! Kudanganya kwenyewe huwezi atii mimi na mke wangu mara huwa unanunuaga mzigo kwa huyo jamaaa....mkeo unamshukuru kwa kukutumia mzigo na mnafanya wote biashara na namba yenu ya simu moja mke na mumeMm nna akaunt jf na mke wang ana akaunt..mm nlikuwa tanga kwa muda nikamtumia mzigo mke wang dar ambaye yy pia anatangaza humu jf na huwa tunaweka namba ya mke wang na ya kwangu
Mama wa nakos unajua kuumbua, hahahaKumbe we ni mwanaume