USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
MUHIMU
Ukichaguliwa/teuliwa kuwa mbunge unaweza kukopa
1: Million 200 tsh kwa ajiri ya kununua usafiri
2. Million 90tsh kwa kununua /kujenga nyumba
3. Million 30 kwa kununua mavazi yanayoitwa ya kiheshimiwa
UZI
Wabunge wanaokopa pesa hizi hulipa kwa kukatwa kwenye mishahara yao na pengine penshen kiasi kwamba kama mbunge atafukuzwa au kuacha ubunge hali huwa tata kiasi na wengine huuishia kufilisika na hata mara nyingi huenda kuomba msaada kwenye ofisi za bunge (kumbuka kauli ya mama Makinda )
LISU
Baada ya ofisi ya bunge kumfukuza ubunge madeni yanamuandamana na hata cheo cha umakamu mwenyekiti wa taifa kukipata ni huruma za wanachadema ( nampongeza Mbowe kwa hili) ili angalau aweze kupunguza stresses za madeni na kuishi kwa shida
Baada ya ziara yake USA na bunge kufanya yake Lisu anaogopa hata kurudi Tanzania ilikukumbana na kesi zikiwamo za mabenk
WITO
Wanachadema fanyeni kitu kuhusu Lisu mmsaidie maana hali si hali
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichaguliwa/teuliwa kuwa mbunge unaweza kukopa
1: Million 200 tsh kwa ajiri ya kununua usafiri
2. Million 90tsh kwa kununua /kujenga nyumba
3. Million 30 kwa kununua mavazi yanayoitwa ya kiheshimiwa
UZI
Wabunge wanaokopa pesa hizi hulipa kwa kukatwa kwenye mishahara yao na pengine penshen kiasi kwamba kama mbunge atafukuzwa au kuacha ubunge hali huwa tata kiasi na wengine huuishia kufilisika na hata mara nyingi huenda kuomba msaada kwenye ofisi za bunge (kumbuka kauli ya mama Makinda )
LISU
Baada ya ofisi ya bunge kumfukuza ubunge madeni yanamuandamana na hata cheo cha umakamu mwenyekiti wa taifa kukipata ni huruma za wanachadema ( nampongeza Mbowe kwa hili) ili angalau aweze kupunguza stresses za madeni na kuishi kwa shida
Baada ya ziara yake USA na bunge kufanya yake Lisu anaogopa hata kurudi Tanzania ilikukumbana na kesi zikiwamo za mabenk
WITO
Wanachadema fanyeni kitu kuhusu Lisu mmsaidie maana hali si hali
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app