Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
Kuna pombe noimeogopa kutest. Wanachanganyiwa na kitu Kama juice ya miwa na tangawizi ni mkorogo mmoja hivi. Wakimywa Wanataka jasho jingiii.Wakenya wengi wananusa gundi na petrol na wanakunywa changaa wamekata tamaa ya maisha ,kenya unakuta watu wamevaa suti na tai wanakwenda kwa mabanda kukunywa mataputapu na changaa