Mademu wa mastaa wanaoongoza kwa kuwa na mvuto mkubwa duniani

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,266
33,039
[h=3][/h]

[h=3][/h]


SI-irina-shayk2.jpg

Hakuna ubishi Cristiano Ronaldo ni moto uwanjani na anatajwa kama mmoja ya wachezaji bora wa dunia. Hivyo mchezaji bora wa dunia mtu ambaye ni nembo ya soka, hivyo anahitaji kuwa vitu bora kimojawapo ni mwanamke, huyu hapa mtoto wa kirusi anaitwa Irina Shyk ni kweli kabisa anastahili kuwa demu wa mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo. Irina Shyk ndio anatufungia listi yetu ya wasichana ambao wana mvuto wamewahi ama wapo katika mahusiano na wanasoka.


ar.jpg
Antonella Ruccozzo, binti wa kiaregentina ndiye aliuteka moyo wa mwanadamu ambaye inasemekana yupo tofauti na wacheza soka wote kwa uwezo wake wa kulisakata kabumbu. Huyu mtoto ni ndiye usingizi wa Lionel Messi - mchezaji bora wa dunia kwa sasa.




Aida-Yespica-03.jpg
Anaitwa Aida Yespica, alikuwa galfriend wa mcheza soka Matteo Ferrari ambaye alizaa nae mtoto. Kwa sasa huu ni usiungizi wa moja ya viiungo bora duniani Mesut Ozil wa Real Madrid.




noemie-lenoir-108588.jpg
Ana mtoto mmoja na moja ya kiungo bora wa ulinzi kuwahi kutokea katika soka la karibuni Claude Makelele. Anaitwa Noemie Lenoir, unaambiwa si tu Makelel alikuwa anajua kuzuia mashambulizi ya uwanjani tu kwani huko Ufaransa mtoto anatingisha hatari lakini Makelele anawatuliza mapedeshee wote wanaomsumbua mama watoto wake.








600full-sylvie-van-der-vaart_display_image.jpg
Mke wa mchezaji wa Tottenham Hotspur Rafael Van Der Vaart ni hatari. Anaitwa Sylivie Van Der Vaart.


letizia-filippi-bunga.jpg
Moja kati wengi waliotekwa na mtoto wa Kireno Cristiano Ronaldo. Letizia Filippi moja ya washiriki wa Miss Italy mwaka 2007.


Cheryl-Cole-Tweedy-Hot-7.jpg
Anajulikana kama ex-wife wa Ashley Cole - Cherly Tweedy aka Cherly Cole. Muimbaji na mwandishi wa nyimbo wa kiingereza.


Coleen+Rooney+pulls+off+sophisticated+look+for+Ladies%27+Day+at+Aintree+%28but+not+everybody+else+followed+suit...%29+1.JPG
Anaujua uwendazimu wote hata ambao kijana Wayne Rooney hatuoneshi uwanjani. Muite Coleen Rooney aka Mama Kai. Mwanamke wa kwanza katika maisha ya Rooney na ndio anayejua kumtuliza Rooney kuliko hata babu Fergie.




GA1.jpg
English actress amekuwa na mahusiano na wanasoka kadhaa. Alianza na Cristiano Ronaldo, na baadae akachumbiwa na Marcus Bent.


eva-gonzalez-8358.jpg
Iker Cassilas hajui tu kudaka mipira pia ana uwezo mkubwa wa kuwakamata watoto wazuri. Huyu Eva Gonzalez nae aliwahi kumpitia katika kipindi cha fainali za kombe la dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani.


1.SaraCarbonero%5B2%5D.jpg
Alipigiwa kura kuwa"Mtangazaji mwenye mvuto kuliko wote na jarida la FHM, Carbonero anafahamika kwa tabia yake ya kupenda kumkiss in public boyfriend wake Iker Cassilas, katika kila mechi ya World Cup 2010. Pia katika fainali hizo alishutumiwa kwa kumkosesha umakini Cassilas katika mechi waliyofungwa na Uswiss. Mmmmh mtoto alivyo mzuri hivi mie hata simlaumu Cassilas.


maggie_q.jpg
Mwigizaji wa kike maarufu kwa TV Series maarufu duniani kwa sasa iitwayo NIKITA. Anaitwa Maggie Q demu wa zamani wa mchezaji bora wa Asia Hidetoshi Nakata.


7nodm6wyf41edo6e.jpg
Model huyu wa kibrazil pia yeye mwenyewe aliwahi kuwa mwanasoka. Yumo katika listi hii kwa sababu ya aliwahi kuolewa na mwanasoka bora wa dunia mara 3 Ronaldo De Lima na wana mtoto mmoja. Pia sasa ameolewa na mwanasoka wa kihispania David Aganz.




shakira-amas-2009-04.jpg
Mwanamuziki maarufu kwa sasa aliwahi kudate na Mhispania Gerard Pique, na ndio maana yupo katika listi hii. Mcolombia huyo anajulikana sana kwa kujua kucheza. Naamini alikuwa akimchezea Pique Pique kila usiku kabla hawajalala.


Raica-Oliveira-15.jpg
Model wa kibrazil Raica Oliveira ni binti mwingine aliyeingia katika mikono ya Ronaldo na kutumalizia kipaji cha El Phenomena wetu wa soka.

xwviy43uq4raiv4a.jpg
Add caption

<tbody>
</tbody>
Demu wa zamani wa mchezaji wa Arsenal Freddie Ljunberg pia ni demu wa sasa wa mchezaji wa zamani wa Manchester United anayeichezea Sunderland Kieran Richardson. Ana miaka 20


victoria-beckham-armani-2.jpg
Zamani alikuwa anajulikana kama Posh Spice aka Victoria Beckham, Mke wa David Beckham. Yeye na mumewe wanatajwa kama moja ya couples bora kabisa miongoni macelebs walio katika mahusiano. Ndoa yao ina watoto wanne mpaka sasa.


yolanthe-cabau-van-kasbergen1-be1ed.jpg
Popote utakapokutana na huyu mwanamke kama wewe ni mwanaume kamili ni lazima umtazame mara mbili. Anaitwa Yolanthe Cabau, mke wa kiungo wa Inter Milan Wesley Sneijder.


st060628015.jpg
Mrembo wa kiswidishi ameolewa na mmoja wanaosoka bora bora waliowahi kutokea katika historia ya soka, Luis Figo.
 
zaira_nara_071.jpg
Usimuone Diego Forlan anapiga sana mashuti ya mbali ukajua yanakuja hivi hivi tu. Analelewa vizuri na mpenzi wake modo wa Kiargentina Zaira Nara.




danielle_lloyd-5235.jpg
Huyu Miss England 2004 na Miss Great Britain 2006, amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanasoka kama vile Teddy Sherigham, Marcus Bent na Jermain Defoe. Aliporwa taji lake la Miss Great Britain mara baada ya picha zake za uchi za jarida la Playboy kutoka, pia aligundulika alikuwa na mahusaino na moja ya majaji wa Miss Great Britain Teddy Sheringham.






OgAAAAADRx9drDPySMv55h1OHAf6LLPnlD9iwmKweSOhhwF2qjfHq1WiK67z-iZhOu9JrF7-NTe1WBDEUT-bVJmwMXYAm1T1UJ_bMB_AFfd96oRKwrPpgdgDa3dC_display_image.jpg
Demu wa high school wa Kaka, Carolina Celico ni mzuri hatari. Japokuwa ni vigumu kwa wanasoka au watu maarufu kudumu na mwanamke mmoja kwa muda mrefu lakini mlokole Kaka na utajiri pamoja na umaarufu wote alionao hapa ndio kafika. Wameshaona na wana mtoto mmoja.


wag-carly-zucker2.jpg
Mke wa mwanasoka Joe Cole na vingi vya kui-offer camera. Uzuri wake ni hatari na ndio maana haishangazi kuona Cole akiwa kaamua kumueka ndani.





vanessa-perroncel-image-3-415970167.jpg


Anajulikana mno kwa mahusiano yake yaliyotingisha mno ndoa ya John Terry - pia Vanessa Perroncel ndiye aliyeleta ugomvi kati ya Wayne Bridge . Ni vigumu kumlaumu Terry kwa uzuri alionao huyu binti.



curran3XPO0702_729x1000.jpg
English model na mwandishi wa makala za urembo katika gazeti la Daily Mirror ndiye mwanamke aliyeuteka moyo wa The Fantastic Captain Steven Gerrard.




cristiano-ronaldo-nereida-gallardo-04.jpg

Mrembo huyu aliyezaliwa Spain ni moja kati ya wanawake wengi wanaomjua Cristiano Ronaldo akitoka kuamka anakuwa na sura gani. Nererida Gallardo pia amewahi kutekwa na Sergio Ramos.
ada1.jpg
Huyu ni mrembo ambaye alishawahi kushinda tuzo ya mwanamke mzuri kuliko wote nchini Nigeria, ameolewa na mchezaji wa Fenerbahce Joseph Yobo pia ni mtoto wa kufikia mchezaji John Fashanu.


0929lauren-pope-4.jpg
Anajulikana kwa mahusiano yake yaliyowagonganisha wachezaji wa England Peter Crouch na Shaun Wright Philips. Lauren Pope ni mjasiliamari anayefanya kazi kama DJ katika moja ya kumbi huko jijini London.


bx2pptk0bzofb0op.jpg
Huyu ni mke wa kiungo wa timu ya taifa ya Argentina Martin Demichelis - anaitwa Evangelina Anderson.


ronaldo-warner.jpg

Model huyu wa kibrazil anaipenda timu yake ya taifa.
Warner alikuwa na mahusiano na Ronaldo de lima mpaka 1999. Baadae akaolewa na golikipa wa taifa hilo Julio Ceaser na sasa wana watoto wawili.


Tonit.jpg


Pamoja na umalaya wake lakini huyu ndio mwanamke aliyeweza kumtuliza Kapteni John Terry. Tayari ndoa imeshajibu na ipo imara japokuwa imekuwa ikiandamwa naskendo za umalaya wa mumewe


0073411B_display_image.jpg

Carlos Tevez anajulikana kwa kujua kulisakata soka, lakini muargentina huyo pia ni hatari kwa warembo wakali. Natalia Fassi ni mrembo mwingine aliyeiletea kashikashi ndoa ya Carlos.


Mrembo huyo Mariana Paesani alishea chumba kimoja na Carlos Tevez kipindi mke wa carlos akiwa anamlea mtoto wao mchanga.
 
Yolanthe Cabau(aliekitandani) huyo ndo nimeona hatari sana:D
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom