Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,572
Nianze na kuwauliza swali,
Hivi mwanaume anapo jitahid hadi anaanzisha conversation na wew huwa mnatuwazia nn hadi mnakua hamuwezi kuonesha respond???
Kengine utakuta hadi mnafanya kazi sehemu moja, ila ukikasalimu hata kukuangalia usoni unaona hakawezi, unaitikia huku umetizama pemben au simu.
Na wengine unakuta hata sio ubusy, wala kaisha olewa, hakuna ila tu mnakua na kaujinga ka kuhisi kwamba, wanaume wote story zetu zinafanana...
Mimi niseme tu kuwa, usipokua active na watu wanaokutafuta hasa kwa jinsia tofauti, unakua mzembe sana na unajinyima kufikilia Maisha.
Utajikuta unanenepeana kwa kukalia starehe moja ya kula ugali wa nyumbani kwenu...
Na utatafuta mchawi nan anae fanya unenepe na utamkosa.
Mim niseme tu kuwa, mwanamke anaejiamin na yupo active na maisha ya sasa hawezi kuringa au kuogopa bira sababu kutengeneza ujirani na mwanaume hata siku moja.
NOTE: remember
Sex make woman more perfect.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mwanaume anapo jitahid hadi anaanzisha conversation na wew huwa mnatuwazia nn hadi mnakua hamuwezi kuonesha respond???
Kengine utakuta hadi mnafanya kazi sehemu moja, ila ukikasalimu hata kukuangalia usoni unaona hakawezi, unaitikia huku umetizama pemben au simu.
Na wengine unakuta hata sio ubusy, wala kaisha olewa, hakuna ila tu mnakua na kaujinga ka kuhisi kwamba, wanaume wote story zetu zinafanana...
Mimi niseme tu kuwa, usipokua active na watu wanaokutafuta hasa kwa jinsia tofauti, unakua mzembe sana na unajinyima kufikilia Maisha.
Utajikuta unanenepeana kwa kukalia starehe moja ya kula ugali wa nyumbani kwenu...
Na utatafuta mchawi nan anae fanya unenepe na utamkosa.
Mim niseme tu kuwa, mwanamke anaejiamin na yupo active na maisha ya sasa hawezi kuringa au kuogopa bira sababu kutengeneza ujirani na mwanaume hata siku moja.
NOTE: remember
Sex make woman more perfect.
Sent using Jamii Forums mobile app