Eti mimi nataka Mwanaume awe mtanashati,awe Na Kazi yake ya
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo Cha Unesi kimekushinda!! unadhani kusoma Kazi rahisi eeh??? Pesa zimekushinda Kutafuta unamuwazia Mwenzako ndo awe Na Pesa ili uje uzitumie Viuzri, Unakaa Kujidai Unachagua Wanaume wakutembea nao wakati we Mwenyewe vigezo huna...Hahaha! Kweli Mnachekasha baadhi Dada zangu. Sasa Wewe Ndo tunatupa Kulee!! Nenda Kasome Kwanza halafu utafute hela ndo useme unataka mwanaume wa hvyo.Nimewaza tu jaman.
Kwa Hisani ya watu wa Uru Kishumundu.
Kueleweka, awe na Pesa,awe amesoma soma May Be Chuo hivi hapo Sawa Vingnevyo tupa Kulee, Wewe Mbona umeishia Darasa la saba? hata Chuo Cha Unesi kimekushinda!! unadhani kusoma Kazi rahisi eeh??? Pesa zimekushinda Kutafuta unamuwazia Mwenzako ndo awe Na Pesa ili uje uzitumie Viuzri, Unakaa Kujidai Unachagua Wanaume wakutembea nao wakati we Mwenyewe vigezo huna...Hahaha! Kweli Mnachekasha baadhi Dada zangu. Sasa Wewe Ndo tunatupa Kulee!! Nenda Kasome Kwanza halafu utafute hela ndo useme unataka mwanaume wa hvyo.Nimewaza tu jaman.
Kwa Hisani ya watu wa Uru Kishumundu.