Jamani sio mbaya tukaulizana swali hili na kupata majibu ya pamoja.
Hivi kwa nini dada zetu wengi kama sio wote wanapenda kupiga picha kwa kubinua makalio yao?
Kwani wakipiga bila kuyabinuwa picha hazitoki?nijuwavyo mimi kitu muhimu kuonekana kwenye picha ni uso (sura)sasa hivyo vijambio mbona ndio mnavitanguluza zaidi?
Hii tabia jamani tuijadili hapa kwa kina nini maana ya mademu kufanya hivyo.
mbona hata midomo tunabinuaga....
Aah! Siyo kweli bana weka picha tuthibitishe!!
Acha wabinue biashara matangazo kwani wewe kinakuwasha nini?Biashara ya kondoo mkia!
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Jamani sio mbaya tukaulizana swali hili na kupata majibu ya pamoja.
Hivi kwa nini dada zetu wengi kama sio wote wanapenda kupiga picha kwa kubinua makalio yao?
Kwani wakipiga bila kuyabinuwa picha hazitoki?nijuwavyo mimi kitu muhimu kuonekana kwenye picha ni uso (sura)sasa hivyo vijambio mbona ndio mnavitanguluza zaidi?
Hii tabia jamani tuijadili hapa kwa kina nini maana ya mademu kufanya hivyo.
Hakuna kilichotokea langu lishabinukaMrejesho tafadhali