Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,184
- 22,586
Wakikuwa wanakunja tu masura yao kama wamejamba ukweniBora wangemalizia usingizi.
Wakikuwa wanakunja tu masura yao kama wamejamba ukweniBora wangemalizia usingizi.
Sijaona walichoimba zaidi ya kukunja masura yao mabaya utazani wamebanwa na mavi ya asubuhi
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Madee ameleza namna alivyowaza mbali kuimba wimbo wa hadithi ambao umeelezea mambo aliyofanya hayati Magufuli, huku akienda mbali zaidi aikisema kuwa atatunga kitabu kwa ajili ya huo wimbo.
Yale lile nyimbo baya vile ndio waliacha kulala wakenda kurikodi takataka?
KmmkWasanii waimbaji wakae kando miaka hii minne. Mama haendekezi kuimbaimba maana kwa imani yake, nyimbo ni dhambi
Yaani miaka nenda Rudi wameshindwa kabisa kufuta legacy ya GK na TID Ile Ngoma Yao ya maombolezo ndio Ngoma Bora ya maombolezo ktk mziki was bongo fleva kwa wakati woteSijaona walichoimba zaidi ya kukunja masura yao mabaya utazani wamebanwa na mavi ya asubuhi
Eti wamepigiwa simu saa 9 usikuYaani miaka nenda Rudi wameshindwa kabisa kufuta legacy ya GK na TID Ile Ngoma Yao ya maombolezo ndio Ngoma Bora ya maombolezo ktk mziki was bongo fleva kwa wakati wote
Wajua mziki ni feelingEti wamepigiwa simu saa 9 usiku
Wamepoteza usingizi wa bureee
Sure yaan bora wangelala tu,ile ngoma ya Gk na tid bonge moja la ngoma yaan unaweza kusikiliza na ukatoa machozi kuanzia melody, hadi beat unaona kabsa kitu kinahuzunisha sio hawa wa sasa..Atleast nyimbo ya kondegang na msechu wamejitahidi.Yaani miaka nenda Rudi wameshindwa kabisa kufuta legacy ya GK na TID Ile Ngoma Yao ya maombolezo ndio Ngoma Bora ya maombolezo ktk mziki was bongo fleva kwa wakati wote
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Madee ameleza namna alivyowaza mbali kuimba wimbo wa hadithi ambao umeelezea mambo aliyofanya hayati Magufuli, huku akienda mbali zaidi aikisema kuwa atatunga kitabu kwa ajili ya huo wimbo.
Sawa kabisa!!! acheni mambo ya ndweleTuachane na yaliyopita hii ni awamu ya mama...
Tunaenda kaanani baada ya kutoka utumwani Misri
Walimuimbia kiongozi gani??Yaani miaka nenda Rudi wameshindwa kabisa kufuta legacy ya GK na TID Ile Ngoma Yao ya maombolezo ndio Ngoma Bora ya maombolezo ktk mziki was bongo fleva kwa wakati wote
Hawa kumuimbia kiongoziWalimuimbia kiongozi gani??