Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Hawa Wakurugenzi wa hizi Halmashauri mbili , Rombo na Siha hawatoshi kabisa.
Hawaziheshimu mamlaka za juu hasa RC na RAS wao.
Wamekuwa na kauli kwa wakubwa zao kwamba " Wote tumeteuliwa na Rais, tusisumbuane ".
Hawamheshimu RC, Anna Mgwira eti kwa kuwa aliteuliwa akitokea upinzani.
Huyu DED wa Rombo ana jeuri sana na kauli nzito kwa mamlaka za juu yake.
Wanalalamikiwa mengi sana hawa maDED!
Tusaidie Mh. Rais wetu mpendwa !
Tunakutegemea sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawaziheshimu mamlaka za juu hasa RC na RAS wao.
Wamekuwa na kauli kwa wakubwa zao kwamba " Wote tumeteuliwa na Rais, tusisumbuane ".
Hawamheshimu RC, Anna Mgwira eti kwa kuwa aliteuliwa akitokea upinzani.
Huyu DED wa Rombo ana jeuri sana na kauli nzito kwa mamlaka za juu yake.
Wanalalamikiwa mengi sana hawa maDED!
Tusaidie Mh. Rais wetu mpendwa !
Tunakutegemea sana.
Sent using Jamii Forums mobile app