Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Kilichonisukuma kuandika uzi huu ni kuhusu strory inayotrend ya DC kumchapa viboko mzaz wa mtot aliyepasua kioo cha gari lake na kuchoshwa na kukua kwa viburi vya baadhi ya maDC na MaRC na kujikuta Miungu watu na kuwatreat watu jinsi wapendavyo wao kwakua wakidhani hawana mandate ya kuwang'oa katika nafasi yao.
Tabia hii pia imeonekana na baadhi ya maRC
Imeonekana kazi kubwa ya maDC na maRC ni kuziimpress media pamoja na aliowateua na si wanaowatumikia.
Wakiondolewa wao tunao wawakilishi wetu na watumishi wengine kibaooo so hata kama wako kikatiba hatuwataki unless wabadilike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia hii pia imeonekana na baadhi ya maRC
Imeonekana kazi kubwa ya maDC na maRC ni kuziimpress media pamoja na aliowateua na si wanaowatumikia.
Wakiondolewa wao tunao wawakilishi wetu na watumishi wengine kibaooo so hata kama wako kikatiba hatuwataki unless wabadilike.
Sent using Jamii Forums mobile app