Madawati ya Bil 78.7 Chenji ya Rada?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,761
71,140
Kumekuwapo kuchangishana fedha nyingi tuu kwa hiari na lazima kwa ajili ya ununuzi wa Madawati.
Pila lipo tishio pale ambapo RC, DC, REO,DEO hata mtendaji wa kata kutumbuliwa ikiwa zoezi LA madawati halita kamilika.

Lakini mbona serikali haijatueleza zile pesa tulizokuwa tumeibiwa na kampuni ya BAE System ya UK kwa msaada wa wenzetu wachache kina Change na zikarudishwa Bil 78.7 (figure inaweza rekebishwa) na kupelekwa kwenye madawati mbona kimya?

Hizo ni fedha nyingi sana, na kama zingenunua kweli hayo madawati pengine tatizo lingeisha au kuwa dogo la kawaida lisilohitaji kampeni kiasi hiki.
Au na Chenji ya Rada nayo ilipigwa? Na kama ilipigwa mtumbuaji mbona yuko kimya na wengine sasa hivi ndio wanakosa amani kuchangisha wasio na fedha?
 
Kumekuwapo kuchangishana fedha nyingi tuu kwa hiari na lazima kwa ajili ya ununuzi wa Madawati.
Pila lipo tishio pale ambapo RC, DC, REO,DEO hata mtendaji wa kata kutumbuliwa ikiwa zoezi LA madawati halita kamilika.
Lakini mbona serikali haijatueleza zile pesa tulizokuwa tumeibiwa na kampuni ya BAE System ya UK kwa msaada wa wenzetu wachache kina Change na zikarudishwa Bil 78.7 (figure inaweza rekebishwa) na kupelekwa kwenye madawati mbona kimya?
Hizo ni fedha nyingi sana, na kama zingenunua kweli hayo madawati pengine tatizo lingeisha au kuwa dogo la kawaida lisilohitaji kampeni kiasi hiki.
Au na Chenji ya Rada nayo ilipigwa? Na kama ilipigwa mtumbuaji mbona yuko kimya na wengine sasa hivi ndio wanakosa amani kuchangisha wasio na fedha?
Swali lako ni la msingi sana na lenye mbolea na rutuba ila wenye akili kaptula utawaona wakianza kutokwa na mapovu na kushambulia itikadi au personalities za watu.
Hold to see them light & stomach thinkers to come but dis regard them
 
Hizo pesa zilitumika kununua vitabu na kuwapatia miongozo walimu na mwongozo wa muhtasari wa masomo kwa waalimu wote 175,000 wa shule za msingi!

Kumbuka kwa Tanzania kila jambo linawezekana!

Kwa maelezo zaidi pitia hapa;

BAE yanunua vitabu pesa za Rada Tanzania
Kwa idadi hiyo ya walimu ni wastani wa kila mwalimu kupata vitabu vyenye thamani ya 450,000 (approx), ha ha ha!
Hata hivyo bungeni ilielezwa kuwa fedha hizo zitatengeneza madawati, wapi feedback?
 
Hizo pesa zilitumika kununua vitabu na kuwapatia miongozo walimu na mwongozo wa muhtasari wa masomo kwa waalimu wote zaidi ya 180,000 wa shule za msingi!

Kumbuka kwa Tanzania kila jambo linawezekana!

Kwa maelezo zaidi pitia hapa;

BAE yanunua vitabu pesa za Rada Tanzania

Matumizi ya Chenji ya Rada - Bilioni 77.8

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa



kava-Matumizi-ya-chenji-ya-rada.jpg



Matumizi ya chenji ya rada
Fedha zilizozidi kununulia rada maarufu kama ‘Chenji ya rada', ambazo zimerudishwa kwa Serikali ya Tanzania na Kampuni ya kutengeneza vifaa vya kivita ya BEA Systems ya Uingereza, imeongezeka kutoka Sh bilioni 73.7 hadi kufikia Sh bilioni 78.7

Kiasi cha pauni milioni 29 zimerudishwa kwa serikali ya Tanzania na kampuni hiyo, ambayoiliiuzia Tanzania rada ambayo baadaye ilibainika kuwa kiasi cha fedha zilizototelewa na Serikali, ni kikubwa ukilinganisha na thamani halisi ya rada yenyewe.

Kiasi hicho sasa kimeongezeka kutoka na kupanda kwa thamani ya fedha na riba ya benki hadi kufikia kiasi hicho cha Sh bilioni 78.7.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Hawa Ghasia aliliambia Bunge kuwa Sh bilioni 59.1 zitatumika kununulia vitabu vya kiada na vitabu viongozi vya walimu. Pia fedha hizo zitatumika kununua mihutasari pamoja na miongozo ya mihutasari kwa ajili ya shule za misingi na asilimia 25 ambazo ni sawa na Sh bilioni 19.7, zitatumika kununulia madawati katika shule za msingi.

Kuhusu ununuzi wa madawati, alisema mchakato umeanza na awali ilipendekezwa kuwa madawati yanunuliwe kwa ajili ya Halmashauri tisa zenye upungufu mkubwa wa madawati, lakini baadaye ilibadilishwa kuwa madawati hayo yasambazwe katika Halmashuri zote kwa usawa.


Ghasia aliliambia Bunge kuwa mchakato wa ununuzi wa vitabu umekamilika, ambapo Serikali imeingia mikataba yenye thamani ya Sh billion 57 na wachapishaji wa vitabu isa, pamoja na taasisi ya elimu Tanzania , ambayo ina jukumu la kuchapisha mihutasari na miongozo yake. Alisema kulingana na mikataba, kazi hiyo inatarajiwa kukamilika ndani ya miezi sita tangu tarehe ya kuweka saini mikataba, ambayo ni Machi 13 mwaka huu 2013.

Alisema Kamati Endeshi ya fedha hizo za chenji ya rada, iliamua madawati yatakayonunuliwa yawe ya kukaliwa mwanafunzi mmoja. Hatua hiyo inatokana na hali ya kuhama katika mfumo wa ufundishaji, na kuwa na mfumo shirikishi ambapo wanafunzi wanajifunza kwa kujadiliana zaidi na kuchangiana mawazo ya uelewa wao, kuliko kumsikiliza Mwalimu zaidi. Alisema baada ya uchaguzi wa aina ya madawati yatakayonunuliwa na kupata viwango vya madawati hayo kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi zabuni zinatarajiwa kutangazwa mapema mwezi Aprili mwaka huu.

Kuhusu Mpango wa Maenedeleo ya Sekondari (MMES), Ghasia alisema awamu ya pili ya mpango huo ulianza mwaka 2010 – 2014 umelenga kujenga shule mbili katika kila Halmashauri kwa kuziwekea mahitaji yote muhimu kama madarasa, nyumba za walimu, maabara, vyoo, maji na samani. Alisema kiasi cha bilioni 56 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa shule 264 ambazo uteuzi wake ulifanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na kazi itaanza wakati wowote baada ya wazabuni kupatikana.
 
CHADEMA siku zote mnapinga maendeleo ya Tanzania. Hakuna anayewasikiliza sasa. Madawati yamepatikana na yanaendelea kupatikana. Alioguswa wamechangia. Ninyi ambao hamjaguswa endeleeni kukaa kimya
Matumizi ya Chenji ya Rada - Bilioni 77.8

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa



kava-Matumizi-ya-chenji-ya-rada.jpg



Matumizi ya chenji ya rada
Fedha zilizozidi kununulia rada maarufu kama ‘Chenji ya rada', ambazo zimerudishwa kwa Serikali ya Tanzania na Kampuni ya kutengeneza vifaa vya kivita ya BEA Systems ya Uingereza, imeongezeka kutoka Sh bilioni 73.7 hadi kufikia Sh bilioni 78.7

Kiasi cha pauni milioni 29 zimerudishwa kwa serikali ya Tanzania na kampuni hiyo, ambayoiliiuzia Tanzania rada ambayo baadaye ilibainika kuwa kiasi cha fedha zilizototelewa na Serikali, ni kikubwa ukilinganisha na thamani halisi ya rada yenyewe.

Kiasi hicho sasa kimeongezeka kutoka na kupanda kwa thamani ya fedha na riba ya benki hadi kufikia kiasi hicho cha Sh bilioni 78.7.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Hawa Ghasia aliliambia Bunge kuwa Sh bilioni 59.1 zitatumika kununulia vitabu vya kiada na vitabu viongozi vya walimu. Pia fedha hizo zitatumika kununua mihutasari pamoja na miongozo ya mihutasari kwa ajili ya shule za misingi na asilimia 25 ambazo ni sawa na Sh bilioni 19.7, zitatumika kununulia madawati katika shule za msingi.

Kuhusu ununuzi wa madawati, alisema mchakato umeanza na awali ilipendekezwa kuwa madawati yanunuliwe kwa ajili ya Halmashauri tisa zenye upungufu mkubwa wa madawati, lakini baadaye ilibadilishwa kuwa madawati hayo yasambazwe katika Halmashuri zote kwa usawa.


Ghasia aliliambia Bunge kuwa mchakato wa ununuzi wa vitabu umekamilika, ambapo Serikali imeingia mikataba yenye thamani ya Sh billion 57 na wachapishaji wa vitabu isa, pamoja na taasisi ya elimu Tanzania , ambayo ina jukumu la kuchapisha mihutasari na miongozo yake. Alisema kulingana na mikataba, kazi hiyo inatarajiwa kukamilika ndani ya miezi sita tangu tarehe ya kuweka saini mikataba, ambayo ni Machi 13 mwaka huu 2013.

Alisema Kamati Endeshi ya fedha hizo za chenji ya rada, iliamua madawati yatakayonunuliwa yawe ya kukaliwa mwanafunzi mmoja. Hatua hiyo inatokana na hali ya kuhama katika mfumo wa ufundishaji, na kuwa na mfumo shirikishi ambapo wanafunzi wanajifunza kwa kujadiliana zaidi na kuchangiana mawazo ya uelewa wao, kuliko kumsikiliza Mwalimu zaidi. Alisema baada ya uchaguzi wa aina ya madawati yatakayonunuliwa na kupata viwango vya madawati hayo kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi zabuni zinatarajiwa kutangazwa mapema mwezi Aprili mwaka huu.

Kuhusu Mpango wa Maenedeleo ya Sekondari (MMES), Ghasia alisema awamu ya pili ya mpango huo ulianza mwaka 2010 – 2014 umelenga kujenga shule mbili katika kila Halmashauri kwa kuziwekea mahitaji yote muhimu kama madarasa, nyumba za walimu, maabara, vyoo, maji na samani. Alisema kiasi cha bilioni 56 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa shule 264 ambazo uteuzi wake ulifanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na kazi itaanza wakati wowote baada ya wazabuni kupatikana.
 
Matumizi ya Chenji ya Rada - Bilioni 77.8

Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa



kava-Matumizi-ya-chenji-ya-rada.jpg



Matumizi ya chenji ya rada
Fedha zilizozidi kununulia rada maarufu kama ‘Chenji ya rada', ambazo zimerudishwa kwa Serikali ya Tanzania na Kampuni ya kutengeneza vifaa vya kivita ya BEA Systems ya Uingereza, imeongezeka kutoka Sh bilioni 73.7 hadi kufikia Sh bilioni 78.7

Kiasi cha pauni milioni 29 zimerudishwa kwa serikali ya Tanzania na kampuni hiyo, ambayoiliiuzia Tanzania rada ambayo baadaye ilibainika kuwa kiasi cha fedha zilizototelewa na Serikali, ni kikubwa ukilinganisha na thamani halisi ya rada yenyewe.

Kiasi hicho sasa kimeongezeka kutoka na kupanda kwa thamani ya fedha na riba ya benki hadi kufikia kiasi hicho cha Sh bilioni 78.7.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Hawa Ghasia aliliambia Bunge kuwa Sh bilioni 59.1 zitatumika kununulia vitabu vya kiada na vitabu viongozi vya walimu. Pia fedha hizo zitatumika kununua mihutasari pamoja na miongozo ya mihutasari kwa ajili ya shule za misingi na asilimia 25 ambazo ni sawa na Sh bilioni 19.7, zitatumika kununulia madawati katika shule za msingi.

Kuhusu ununuzi wa madawati, alisema mchakato umeanza na awali ilipendekezwa kuwa madawati yanunuliwe kwa ajili ya Halmashauri tisa zenye upungufu mkubwa wa madawati, lakini baadaye ilibadilishwa kuwa madawati hayo yasambazwe katika Halmashuri zote kwa usawa.


Ghasia aliliambia Bunge kuwa mchakato wa ununuzi wa vitabu umekamilika, ambapo Serikali imeingia mikataba yenye thamani ya Sh billion 57 na wachapishaji wa vitabu isa, pamoja na taasisi ya elimu Tanzania , ambayo ina jukumu la kuchapisha mihutasari na miongozo yake. Alisema kulingana na mikataba, kazi hiyo inatarajiwa kukamilika ndani ya miezi sita tangu tarehe ya kuweka saini mikataba, ambayo ni Machi 13 mwaka huu 2013.

Alisema Kamati Endeshi ya fedha hizo za chenji ya rada, iliamua madawati yatakayonunuliwa yawe ya kukaliwa mwanafunzi mmoja. Hatua hiyo inatokana na hali ya kuhama katika mfumo wa ufundishaji, na kuwa na mfumo shirikishi ambapo wanafunzi wanajifunza kwa kujadiliana zaidi na kuchangiana mawazo ya uelewa wao, kuliko kumsikiliza Mwalimu zaidi. Alisema baada ya uchaguzi wa aina ya madawati yatakayonunuliwa na kupata viwango vya madawati hayo kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi zabuni zinatarajiwa kutangazwa mapema mwezi Aprili mwaka huu.

Kuhusu Mpango wa Maenedeleo ya Sekondari (MMES), Ghasia alisema awamu ya pili ya mpango huo ulianza mwaka 2010 – 2014 umelenga kujenga shule mbili katika kila Halmashauri kwa kuziwekea mahitaji yote muhimu kama madarasa, nyumba za walimu, maabara, vyoo, maji na samani. Alisema kiasi cha bilioni 56 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa shule 264 ambazo uteuzi wake ulifanywa na Mamlaka za Serikali za Mitaa na kazi itaanza wakati wowote baada ya wazabuni kupatikana.
Kuna mdau hapo juu kasema hiyo ilikuwa dhamira, jee utekelezaji ulifanyika kwa kiwango gani?
Maana madawati ya hiyo 25% ambayo ni Bil 19 yangeonekana hasa ukizingatia sio kuwa shule hazikuwa na madawati bali upungufu.
 
Kumekuwapo kuchangishana fedha nyingi tuu kwa hiari na lazima kwa ajili ya ununuzi wa Madawati.
Pila lipo tishio pale ambapo RC, DC, REO,DEO hata mtendaji wa kata kutumbuliwa ikiwa zoezi LA madawati halita kamilika.
Lakini mbona serikali haijatueleza zile pesa tulizokuwa tumeibiwa na kampuni ya BAE System ya UK kwa msaada wa wenzetu wachache kina Change na zikarudishwa Bil 78.7 (figure inaweza rekebishwa) na kupelekwa kwenye madawati mbona kimya?
Hizo ni fedha nyingi sana, na kama zingenunua kweli hayo madawati pengine tatizo lingeisha au kuwa dogo la kawaida lisilohitaji kampeni kiasi hiki.
Au na Chenji ya Rada nayo ilipigwa? Na kama ilipigwa mtumbuaji mbona yuko kimya na wengine sasa hivi ndio wanakosa amani kuchangisha wasio na fedha?
Kaiulize serikali iliyotangulià.
 
CHADEMA siku zote mnapinga maendeleo ya Tanzania. Hakuna anayewasikiliza sasa. Madawati yamepatikana na yanaendelea kupatikana. Alioguswa wamechangia. Ninyi ambao hamjaguswa endeleeni kukaa kimya


Jibu hoja ...chenji ya Rada baada ya wizi wa Mwenyekiti wa Bunge kwa kupitia CCM...Bwana cheng ....zimeenda wapi? CCM acheni wizi...jibuni hoja Bilioni 78 ziko wapi? sio kufanya maigizo ya kuchangisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom