rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 14,923
- 19,614
tatizo tunachagua watu kuingia bungeni kudai posho zao badala ya kujadili mambo ya msingi si ccm wala ukawa hilo jambo nilitegemea lingeulizwa kwenye maswali ya papo kwa papo badala yake wamekaa kupigana vijembe