Jaribu kwenye kidole cha mguuni
una hatari wewe handsome,donti trai thisi ati homu,je kidole kikiwa kikubwa kuliko mguu utasemaje?
una hatari wewe handsome,donti trai thisi ati homu,je kidole kikiwa kikubwa kuliko mguu utasemaje?
Hii kitu huwa nashindwa kuelewa kama ni kweli au lah kwa kuwa i have never come across someone akaniambia kuwa ameishawahi kutumia inawezekana wapo wanaotumia kwa kuficha hawataki kujulikana na watu kwa kuwa wanajua watanyoshewa vidole ila kama alivyosema cheusimangala kuna ambao unakutana nao barabarani maumbile yao yanakuwa sio ya kawaida mara huku kubwa mara kule dogo then hapo ndio unaanza kudoubt
Rafiki yangu nilikuwa nikiishi naye wakati fukani alikuja nyumbani amebebba kichubu flani akaniambia alikutana na jamaa njiani anauza akamweleza kuwa inaongeza uume jamaa akainunua na kuituma lakini hakupata mabadiliko yoyote
Cheusi, ulifikilia nini kuweka hiyo avatar? unaniharibia concentration!
taratibu mkuu, utamzoea tu dada Cheusi wala hana matatizo, siku za mwanzo hata sisi tulikuwa kama wewe na maswali mengi aliulizwa na akayajibu kwa upole na ustaarabu tu, UTAZOEA MKUU, NA HUUYO NI YEYE HALISI WALA SIO HIZO DAWA ZENU ZA KUONGEZA MAMBO
Dawa za kuongeza (Madawa ya kuongeza maumbile) Wewe kama kweli unataka jaribu kuwatafuta Wamasai kama upo DAR, la kama haupo DAR upo sehemu nyingine kama Tanga nenda kwa Waganga wa Kisambaa watakupa hizo Dawa za Kienyeji za kuongeza ( Madawa ya kuongeza maumbile) Watakusaidia sana usitumie Dawa za Kichina Tafadhali.Hivi haya mabango ninayoyaona mabarabarani na hawa wanaouza wana TBS kweli? Je waliowahi kutumia wanawezaje kunielezea faida na madhara yake..? Wote wakike na kiume nataka mawazo yao...:violin: