Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

JPM kawachakaza hawa wauza unga. hata ukiangalia takwimu za vijana wanaokamatwa nje ya nchi imepungua sana.
bravo JPM.
 
Huwa najiuliza mbona Makonda alijitananmbaisha kuwa Amethibiti Madawa ya Kulevya Mimi niko Morogoro Mjini Njoo maeneo ya Msamvu Stand/ITIGI jina Maarufu Kuna mateja wa kumwaga wanayatoa wapi? Nenda MANZESE ya Morogoro wapo Mateja Kibao Tena ni wakabaji Balaaa! Njoo tumbaku Kwenye Mataa Pia nikituo Cha Maroli ya Michanga Tuna mateja kibao Tena wapo Live Na Polisi wanawajua Wananunua Wapi? Hizo ni Sehemu ninazozijua Au ilikuwa ni Mbinu za kuwazalilisha watu huku wahusika wakiachwa Pembeni.
 
Huwa najiuliza mbona Makonda alijitananmbaisha kuwa Amethibiti Madawa ya Kulevya Mimi niko Morogoro Mjini Njoo maeneo ya Msamvu Stand/ITIGI jina Maarufu Kuna mateja wa kumwaga wanayatoa wapi? Nenda MANZESE ya Morogoro wapo Mateja Kibao Tena ni wakabaji Balaaa! Njoo tumbaku Kwenye Mataa Pia nikituo Cha Maroli ya Michanga Tuna mateja kibao Tena wapo Live Na Polisi wanawajua Wananunua Wapi? Hizo ni Sehemu ninazozijua Au ilikuwa ni Mbinu za kuwazalilisha watu huku wahusika wakiachwa Pembeni.
Makonda alishughulikia Zaidi Dar, huko Moro hana mamlaka napo ki vile.
Ni jukumu lenu sasa, kwenda kureport hivyo vijiwe unavyovitaja ili wadhibitiwe.
 
Kama hili linatokea kwenye jeshi la marekani...basi inabidi tuwa makini na nini wamarekani wanatushauri...!!
Na sisi tuchunguze kwa umakini vyombo vyetu vya usalama kama viko salama.
=====
US Navy investigators are looking into claims of a drug ring that was selling illegal substances over the dark web, including cocaine, LSD, and ketamine – a powerful sedative, local media reports.
As many as dozens of midshipmen are being investigated for an alleged drug abuse, Fox News reported. The investigation revolves around allegations of a drug ring at the US Naval Academy, the leading institution in charge of commissioning officers for the Navy and the Marine Corps

As of Sunday, three Navy cadets were accused of selling cocaine, ketamine, which is a powerful sedative substance, and LSD to their classmates who purchased the drugs via the dark web using bitcoin, Fox said, citing several midshipmen currently enrolled at the academy.

Claims of drug ring at US Naval Academy selling cocaine, LSD on dark web trigger probe
 
Trump (rais wa Marekani) amuunga 'mkono Durtete'. Ni katika masuala ya kudhibiti madawa ya kulevya. Akiri wauza madawa ya kulevya ni wauaji wa vizazi kwa kusema mtu mmoja anaweza kuua watu 5,000 kwa madawa ya kulevya.
Hongera Trump kwa kuliona hilo.
Tanzania tunaweza kuliangalia suala hili la adhabu kwa wanaothibitika kujishughulisha na madawa ya kulevya kwa mapana zaidi.
========
Death penalty for drug dealers

Trump praised other countries for imposing the death penalty or life in prison for drug dealers, saying the United States should consider similar penalties.
"I think it's a discussion we have to start thinking about. I don't know if we're ready -- I don't know if this country's ready for it," Trump said.
He said those convicted of killing just one person in shootings and stabbings at times face the death penalty or life in prison without parole. But, he said, someone can "kill 5,000 people with drugs because you're smuggling them in and you're making a lot of money and people are dying," and go without serious punishment.

Trump stumps for struggling GOP candidate, talks up death penalty for drug dealers in whirlwind rally - CNNPolitics
 
Mtandao wa KenyanTalk umetaja orodha ya wafanyabiashara wakubwa wa madawa ya kulevya aina ya heroine kwa Afrika Mashariki. Orodha hiyo inajumuisha viongozi wakubwa wa kisiasa kutoka Kenya na Tanzania ambao wanatajwa kuingiza na kusambaza "heroine" katika nchi nyingine za EAC. Watu hao wanaodaiwa kuwa ni magwiji wa mihadarati aina ya heroine ni:
1.Rais Uhuru Kenyata (KE)
2.Gavana wa Mombassa Ali Hassan Joho (KE)
3.Mfanyabiashara na mbunge wa zamani Harun Mwau (KE)
4.Seneta wa Nairobi Mike Sonko (KE)
5.Gavana wa Kiambuu Wilium Kabongo Gitau (KE)
6. Mtoto wa Rais Mstaafu Ridhiwani Kikwete (TZ)
7.Waziri Mwigulu Nchemba (TZ)
8.Waziri mstaafu Juma Kapuya (TZ)
9.Balozi Emanuel Nchimbi (TZ)
Hili ni kaburi la kufukua maana kama ni kweli ukishakula nyama ya mtu huachi kwani hata ukitaka kuacha waliokualika watakutishia usiache ni kama kujiunga free mason.
 
Kuna watu walitajwa na Makonda kwa kuandikwa majina kwenye karatasi ya kuokota , vipi ile nilikuwa swaga za kupotezea ishu ya nini vile
 
Back
Top Bottom