Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

View attachment 101931 Hatuwezi kuendelea kukaa kimya. Taifa letu linaaibika vibaya sana.

Wahusika wanajulikana. Wametajwa mara nyingi na mbinu wanazozifanya kwa kutumia wasanii wa kizazi kipya na waigizaji almaarufu kama 'Bongo Movie'.



Inaudhi, inakera na inatuongezea chuki sana kwa serikali iliyo madarakani. Kaeni kimya na endeleeni kulichafua taifa, kuna siku mtatueleza yote. Au kwakuwa wahusika ni wanenu? Au kwakuwa wakuu wa juu ni wale waliowawezesha kuingia madarakani kisiasa?

Ndugu zangu, hii ni aibu kubwa kwa Taifa. Inasikitisha sana na inazidi kutuaibisha wengine tunaosafiri ng'ambo. Taifa kama halina rais, taifa kama halina Vyombo vya Dola. Ni upumbavu, ni ufedhuli na mtambue sasa tumechoka. Sasa, tunaanza kuziweka habari za kila anayekamatwa na madawa hadharani, tunaanza kuweka hadi wanaowatuma. Tutawafikia mapapa wote!

Mambo haya mlimchomekea mtoto wa Mengi, mambo haya mnawachomekea wanyonge wenye njaa kali na hadi mmeua vijana wetu kwa kuwabebesha mizigo michafu hivi!

Kwa ambao hamjasoma habari hii ya aibu, someni hapa:



Someni zaidi hapa Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa


USHAURI KWA VIJANA WA KITANZANIA:


*************************************

Habari zaidi ndani ya JF:

*************************************
- CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

- Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
- News Alert: - Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee
- Mbunge wa Kinondoni umefeli kupambana na Madawa ya kulevya!
- Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa
- MADAWA YA KULEVYA: RC Makonda na Kamanda Sirro waongea na waandishi wa habari

- Updates: Wasanii Waitikia wito wa Makonda Kufika Polisi
- DAR: RC Makonda awataja Askari 9 watuhumiwa kushirikiana na mtandao wa Dawa za Kulevya. Wamo wasanii
- Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

- Biashara ya Madawa ya Kulevya Tanzania: Who is Pulling the Strings? [September, 2010]
- Madawa ya Kulevya Tanzania, Serikali Yetu Hamyaoni Yanatumaliza? [March, 2011]
- Madawa ya kulevya: Rais Kikwete akutana na mawaziri, wakuu wa mahakama na polisi [2013]
- Kuficha watuhumiwa wa madawa ya kulevya... Wananchi, tufanye nini? [July, 2011]
- Madawa ya Kulevya - Aina na Athari zake kwa Mtumiaji [February, 2012]

- Dawa za kulevya: Watanzania watatu wakamatwa India, mmoja afariki
- Mafia wa Italia na mihadarati Tanzania [December, 2012]
- Mihadarati (Madawa ya Kulevya) yaivuruga CCM! [November, 2006]
- Wajumbe Baraza la Wawakilishi Zanzibar watuhumiana kuhusika na Mihadarati (Madawa ya Kulevya) [June, 2011]

- Serikali kuanika vigogo wa Madawa ya Kulevya bungeni [July, 2011]
- Madawa ya Kulevya: Alivyotoroshwa Nurdin Akasha...
- Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya Chicago, U.S.A.

- Mtanzania akutwa na madawa ya kulevya uwanja wa ndege wa Marekani-Texas tumboni kwake
- Rais Obama amtaja mfanyabiashara wa madawa ya kulevya mwanamke wa kitanzania aishie Mbezi
- Polisi wamnasa muuza dawa za kulevya wa kimataifa aitwaye Leila...
- Kikwete 'awapakazia' viongozi wa dini biashara ya madawa ya kulevya

- Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
- Dadake mbunge Munde Tambwe (CCM) akamatwa na dawa za kulevya!
- Kangi Lugola, mbunge CCM atuhumu Mawaziri ni wauza mihadarati! Serikali yawatetea, awekwa kitanzini!
- Mtandao wa uhalifu Polisi... Wahusishwa na mauaji, biashara ya mihadarati na ulaji rushwa!

- Mfanyabiashara jamaa ya Mbunge akamatwa na Shehena ya Madawa ya Kulevya
- Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!
- Mtoto wa Liyumba akamatwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya Bil 9 Tsh

- Wapakistan waliokamatwa na madawa ya kulevya ya billion 6 waachiwa kwa dhamana!
- Picha: Msichana wa KITANZANIA aliyekamatwa na Unga EGYPT kunyongwa...
- Madawa ya Kulevya: Mabondia wa Tanzania wafungwa miaka 15 nchini Mauritius!

- Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa
- Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong
- Binti ashikwa na Madawa ya Kulevya JNIA; Polisi wa usalama waomba Rushwa wakataliwa...
- Mtanzania afungwa jela miaka 15 Zimbabwe kwa kukutwa na madawa ya kulevya

- Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!
- Kilumbe Ng'enda: Mbunge Azzan Anahusika na Biashara ya Dawa za Kulevya

- Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya US
- Mapapa wa madawa ya kulevya watajwa, wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

- Mtambo wa Dawa za kulevya waingizwa nchini, upo Mbezi Beach!
- Serikali sasa kuanzisha mahakama ya madawa ya kulevya...!!
- Madawa ya Kulevya: Mashine mpya zafungwa JKIA
- Bungeni Live: Hoja juu ya Madawa ya Kulevya
- CHADEMA watoa tamko kuhusu madawa ya kulevya
- Vita dhidi ya madawa ya kulevya: Waziri akiri wauza unga kuifadhili CCM, Nzowa aizamisha Jambo leo
- Sakata la madawa ya kulevya: Kamanda wa polisi viwanja vya ndege ahamishwa
- Sakata la madawa ya kulevya: Viongozi wachunguzwa na kuhojiwa
- Majina ya Majaji wanaolinda wauza madawa ya kulevya yatajwa! Wamo Pendo Msuya na Dr Fauz Twalib
- Mtanzania adakwa na mihadarati China
- Mtanzania akamatwa akiwa na Madawa ya Kulevya United Arab Emirates (UAE)

- Mshambuliaji wa zamani wa Simba akamatwa na madawa ya kulevya...
- Mbwana Matumla akamatwa na madawa ya kulevya Spain
- Madawa ya Kulevya: Matumla na Kaniki wakamatwa!

- Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya Dubai amlaumu mumewe
- Madawa ya Kulevya: Meli ya Tanzania iliyobeba unga wa Sh. Bilioni 123 yazua kizaazaa nchini Italia!
- Ripoti UN: Tanzania kinara dawa za kulevya
- Uchochoro wa kuvusha dawa za kulevya Dar huu hapa
- Baadhi ya njia zinazotumika kupitisha madawa ya kulevya uwanja wa ndege JKNIA
- Madawa ya kulevya: Mtanzania afia Dubai, wengine wadaiwa kukamatwa China na Brazil
- Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) naye akamatwa Brazil
- Mwanajeshi Rashid Mohamed akamatwa na mirungi kilo 20 huko Tanga

ITOSHE KUSEMA TU KWAMBA SAA ZA UJINGA ZIMEKWISHA, NARUDIA TENA NA NITASEMA TENA, HAKUNA PESA YOYOTE KWENYE BIASHARA YA MADAWA YA KULEVYA, MADAWA YA KULEVYA NI KAMA BANGE NA GONGO. WAZUNGU WALITUAMINISHA KWENYE FILAMU KWAMBA MADAWA YA KULEVYA YANA PESA, NI UONGO NA UZUSHI. MADAWA YA KULEVYA NI KIFO!! MADAWA YA KULEVYA YANAUA HARAKA SANA NA KILA ANAYE TUMIA BASI TAIFA LIMEMPOTEZA.
 
Labda nisahihishe kidogo. Serikali haijawahi kuteka mtu hata mmoja na haifikirii hilo. Inachofanya ni kuwalinda
Nafkili inategemea kutekwa au kulindwa inatokea kulingana na mazingira na waTanzania hupenda kujadili mambo ambayo hayana msingi. vitu vya maendeleo hampendi kujadili sasa watu wanatumia neno kutekwa ktk mijadala yao hawawezi kutumia neno kuchukuliwa na kuhifadhiwa kwa mahojiano. kwa hiyo jibu lake hapo ni inategemea
 
Kalama Masuod Suleiman au al maaruf kama "Kalapina" na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ni watu wanaotajwa kupambana kwa namna moja ama nyingine na matumizi ya madawa ya kulevya kwenye jamii ya watu wa Dar es salaam.

Kalapina ambaye anaendesha kampeni inayojulikana kwa jina la "Harakati" amekuwa akizunguka mitaani hasa maeneo ambayo yana watumiaji wengi wa madawa ya kulevya akitoa elimu pamoja na kuwakusanya watumiaji hao na kuwapeleka kwenye nyumba za kupunguza uraibu (Sober House) watumiaji hao. Pia hujishughulisha na miradi ya waliokuwa watumiaji wa madawa ya kulevya.

Makonda naye ametokea kuwa maarufu kwa kutaja majina ya washukiwa wa matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na wauzaji. Pamoja na mpango wake kukutwa na vikwazo vingi sana, lakini Makonda amebakia kama mtu aliyechagiza kwa upya vita hiyo dhidi ya madawa ya kulevya. Ingawa Kampeni yake iligubikwa na sintofahamu nyingi, lakini naye ni mmoja ya watu walio kwenye orodha ya watu walionesha kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.

Hawa watu wawili wanalinganishika linapokuja suala la kupambana na biashara ya madawa ya kulevya?
 
Baada ya muda mrefu sasa Taifa limejipanga na kutengeneza commission maalum ya kupambana na dawa za kulevya.
Sasa tu jiulize je kamisheni hii inaundwa kimapambano au kijamaa na kisiasa? Au hatujitambui?
Mtizamo wangu baada ya uundwaji wa kamisheni uteuzi wa KAMISHNA MKUU. kilichotakiwa kufuatia ni kutangazwa kwa nafasi za kazi WATANZANIA WAOMBE NAFASI watoe mchango wao kwa taifa.
Hata kama si ajira mpya lkn WATANZANIA waombe wakitokea ktk ajira zingine. Lkn kwa muundo wa sasa bado ni uteuzi wa kutazamana sura ,ujamaa zaidi hivyo TIJA ni sehemu Mdogo saana kupatikana.
Tumetoka kwenye tabu ya kupambana na dawa hizi kimazoea huku tukiwa mabingwa wa kuelezea mbinu za udhibiti wa dawa hizo na mafanikio ya ukamataji, lkn idadi ya vijana wanaotumia dawa hizo ikiwa inaongezeka mwaka hata mwaka.
Rai yangu kwa wahusika hatujachelewa tuache kupeana mapande ya ajira tufungue milango watu waombe kufanya kazi wachujwe kwa sifa stahili. Kuliko yule ni rafiki yangu/jamaa yangu nk
 
View attachment 101931 Hatuwezi kuendelea kukaa kimya. Taifa letu linaaibika vibaya sana.

Wahusika wanajulikana. Wametajwa mara nyingi na mbinu wanazozifanya kwa kutumia wasanii wa kizazi kipya na waigizaji almaarufu kama 'Bongo Movie'.



Inaudhi, inakera na inatuongezea chuki sana kwa serikali iliyo madarakani. Kaeni kimya na endeleeni kulichafua taifa, kuna siku mtatueleza yote. Au kwakuwa wahusika ni wanenu? Au kwakuwa wakuu wa juu ni wale waliowawezesha kuingia madarakani kisiasa?

Ndugu zangu, hii ni aibu kubwa kwa Taifa. Inasikitisha sana na inazidi kutuaibisha wengine tunaosafiri ng'ambo. Taifa kama halina rais, taifa kama halina Vyombo vya Dola. Ni upumbavu, ni ufedhuli na mtambue sasa tumechoka. Sasa, tunaanza kuziweka habari za kila anayekamatwa na madawa hadharani, tunaanza kuweka hadi wanaowatuma. Tutawafikia mapapa wote!

Mambo haya mlimchomekea mtoto wa Mengi, mambo haya mnawachomekea wanyonge wenye njaa kali na hadi mmeua vijana wetu kwa kuwabebesha mizigo michafu hivi!

Kwa ambao hamjasoma habari hii ya aibu, someni hapa:



Someni zaidi hapa Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa


USHAURI KWA VIJANA WA KITANZANIA:


*************************************

Habari zaidi ndani ya JF:

*************************************
- CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

- Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...
- News Alert: - Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee
- Mbunge wa Kinondoni umefeli kupambana na Madawa ya kulevya!
- Tuseme: Makonda, Haya hapa Majina ya Wauzaji Madawa ya Kulevya wakubwa
- MADAWA YA KULEVYA: RC Makonda na Kamanda Sirro waongea na waandishi wa habari

- Updates: Wasanii Waitikia wito wa Makonda Kufika Polisi
- DAR: RC Makonda awataja Askari 9 watuhumiwa kushirikiana na mtandao wa Dawa za Kulevya. Wamo wasanii
- Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

- Biashara ya Madawa ya Kulevya Tanzania: Who is Pulling the Strings? [September, 2010]
- Madawa ya Kulevya Tanzania, Serikali Yetu Hamyaoni Yanatumaliza? [March, 2011]
- Madawa ya kulevya: Rais Kikwete akutana na mawaziri, wakuu wa mahakama na polisi [2013]
- Kuficha watuhumiwa wa madawa ya kulevya... Wananchi, tufanye nini? [July, 2011]
- Madawa ya Kulevya - Aina na Athari zake kwa Mtumiaji [February, 2012]

- Dawa za kulevya: Watanzania watatu wakamatwa India, mmoja afariki
- Mafia wa Italia na mihadarati Tanzania [December, 2012]
- Mihadarati (Madawa ya Kulevya) yaivuruga CCM! [November, 2006]
- Wajumbe Baraza la Wawakilishi Zanzibar watuhumiana kuhusika na Mihadarati (Madawa ya Kulevya) [June, 2011]

- Serikali kuanika vigogo wa Madawa ya Kulevya bungeni [July, 2011]
- Madawa ya Kulevya: Alivyotoroshwa Nurdin Akasha...
- Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya Chicago, U.S.A.

- Mtanzania akutwa na madawa ya kulevya uwanja wa ndege wa Marekani-Texas tumboni kwake
- Rais Obama amtaja mfanyabiashara wa madawa ya kulevya mwanamke wa kitanzania aishie Mbezi
- Polisi wamnasa muuza dawa za kulevya wa kimataifa aitwaye Leila...
- Kikwete 'awapakazia' viongozi wa dini biashara ya madawa ya kulevya

- Pengo: Wananipakazia madawa ya kulevya!
- Dadake mbunge Munde Tambwe (CCM) akamatwa na dawa za kulevya!
- Kangi Lugola, mbunge CCM atuhumu Mawaziri ni wauza mihadarati! Serikali yawatetea, awekwa kitanzini!
- Mtandao wa uhalifu Polisi... Wahusishwa na mauaji, biashara ya mihadarati na ulaji rushwa!

- Mfanyabiashara jamaa ya Mbunge akamatwa na Shehena ya Madawa ya Kulevya
- Mtangazaji wa redio kutoka Tanzania amekamatwa na dawa za kulevya Kenya!
- Mtoto wa Liyumba akamatwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya Bil 9 Tsh

- Wapakistan waliokamatwa na madawa ya kulevya ya billion 6 waachiwa kwa dhamana!
- Picha: Msichana wa KITANZANIA aliyekamatwa na Unga EGYPT kunyongwa...
- Madawa ya Kulevya: Mabondia wa Tanzania wafungwa miaka 15 nchini Mauritius!

- Watanzania Wawili wakamatwa South Africa na Madawa
- Watanzania wawili wakamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong
- Binti ashikwa na Madawa ya Kulevya JNIA; Polisi wa usalama waomba Rushwa wakataliwa...
- Mtanzania afungwa jela miaka 15 Zimbabwe kwa kukutwa na madawa ya kulevya

- Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!
- Kilumbe Ng'enda: Mbunge Azzan Anahusika na Biashara ya Dawa za Kulevya

- Mtanzania akamatwa na madawa ya kulevya US
- Mapapa wa madawa ya kulevya watajwa, wamo Morine Amatus Liyumba na mdogo wa Rostam Aziz
- Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

- Mtambo wa Dawa za kulevya waingizwa nchini, upo Mbezi Beach!
- Serikali sasa kuanzisha mahakama ya madawa ya kulevya...!!
- Madawa ya Kulevya: Mashine mpya zafungwa JKIA
- Bungeni Live: Hoja juu ya Madawa ya Kulevya
- CHADEMA watoa tamko kuhusu madawa ya kulevya
- Vita dhidi ya madawa ya kulevya: Waziri akiri wauza unga kuifadhili CCM, Nzowa aizamisha Jambo leo
- Sakata la madawa ya kulevya: Kamanda wa polisi viwanja vya ndege ahamishwa
- Sakata la madawa ya kulevya: Viongozi wachunguzwa na kuhojiwa
- Majina ya Majaji wanaolinda wauza madawa ya kulevya yatajwa! Wamo Pendo Msuya na Dr Fauz Twalib
- Mtanzania adakwa na mihadarati China
- Mtanzania akamatwa akiwa na Madawa ya Kulevya United Arab Emirates (UAE)

- Mshambuliaji wa zamani wa Simba akamatwa na madawa ya kulevya...
- Mbwana Matumla akamatwa na madawa ya kulevya Spain
- Madawa ya Kulevya: Matumla na Kaniki wakamatwa!

- Mtanzania aliyekamatwa na madawa ya kulevya Dubai amlaumu mumewe
- Madawa ya Kulevya: Meli ya Tanzania iliyobeba unga wa Sh. Bilioni 123 yazua kizaazaa nchini Italia!
- Ripoti UN: Tanzania kinara dawa za kulevya
- Uchochoro wa kuvusha dawa za kulevya Dar huu hapa
- Baadhi ya njia zinazotumika kupitisha madawa ya kulevya uwanja wa ndege JKNIA
- Madawa ya kulevya: Mtanzania afia Dubai, wengine wadaiwa kukamatwa China na Brazil
- Madawa ya Kulevya: Aisha Bui (mke mwenza na Amina chifupa) naye akamatwa Brazil
- Mwanajeshi Rashid Mohamed akamatwa na mirungi kilo 20 huko Tanga

SERIKALI WANAJISUMBUA NN WAKATI Mh.JK ALIPEWA ORODHA HAPO MAGOGONI MJENGONI. WASITUONE MAZOBA WAKUENDELEA KUJADL MADAWA, WAKIPEWA MAJINA YA JAMAA ZAO WANACHOMA LIST.
 
Kwa nini kutumia Madawa ya kulevya ni kosa na unashitakiwa? Binafsi ningependekeza tuwekeze nguvu kwenye wauzaji na wasambazaji na siyo watuamiaji, kumkamata mtumuaji ni kumuonea tu, tunachopaswa kufanya ni kumsaidia ili asiweze kuendelea kutumia Madawa ya kulevya na siyo kumuweka Jela, huu ni ujinga kwani hakutatui tatizo, na kama tulikuwa tunatafuta ushahidi wote waliokamatwa kwa kutumia Madawa ya kulevya hapo mwanzo wakiachiwa waaendelea kutumia, ...
 
Kwa nini kutumia Madawa ya kulevya ni kosa na unashitakiwa? Binafsi ningependekeza tuwekeze nguvu kwenye wauzaji na wasambazaji na siyo watuamiaji, kumkamata mtumuaji ni kumuonea tu, tunachopaswa kufanya ni kumsaidia ili asiweze kuendelea kutumia Madawa ya kulevya na siyo kumuweka Jela, huu ni ujinga kwani hakutatui tatizo, na kama tulikuwa tunatafuta ushahidi wote waliokamatwa kwa kutumia Madawa ya kulevya hapo mwanzo wakiachiwa waaendelea kutumia, ...

Mkuu hapo ndipo ulaji ulipo!Nilienda iringa,kuna kijana alikutwa na bangi msokoto mmoja!Nilikuta kashikiliwa kituo cha polisi ana wiki 2,jamaa hata mahakamani hawawafikisha watuhumiwa wa kutumia bangi!Walimshikilia mpaka Mama yake alipotoa mil 1.5 ndio akaachiwa!Mwanzoni alitoa laki 2 wakakataa,akaongeza mpaka laki 5 bado wakakataa!Wakampiga mil 2,mama akawashusha mpaka mil 1.5!
Yaani huu ni ulaji kwa polisi,wakiishiwa tu hela wanapiga doria na kujaza watu mahabusu!!!Kinachofuata ni pesa!
 
Kwa hakika madawa ya kulevya ni adhali kubwa sanaaaaa na tatizo limechangia kuua ndoto za vijana wengi katika nchi yetu ya Tanzania ikiwemo Africa nzima.Juhudi hizi za kudili na wauaji hawa ziendelee kabisa.

Geofrey Julius
Africa's youth first network
www.africasyouthfirstnetwork.org
 
nawe unaeamini serikali inapambana na wauza dawa za kulevya ni jinga la majinga.!
hata yule mange nae hawajui..anapewa info na zote zinahusu kambale..nyangumi hawajui.na ili uwaumbue tu hawa watu must uwe mtu wa karibu na system na pia upate ushahidi.
refer to amina chifupa..alipata ubunge na kuwa nao close...akatangaza vita walampoteza kwa kifo cha ghafla!
kuna alietangaza nia ya dhati kupamnana na dawa za kulevya baada ya amina?

leo mkawa mnamshangilia makonda
bila kujua huyu kijana no kibaraka wa walewale
makonda alipewa go on na mzee juma iwe kama kiki..manyangumi wakakutana mkuu wa kaya akatoa wasiwasi mpo salama..msihofu!
wakaanda list ndeefu ya kambale na dagaa ikiwemo hawa mapunda na mateja wanaomwaga udenda mitaani..mnashangilia wee!!
eti vita ya kupambana na madawa unakamata mateja...eti kila mzaz ataekutwa na kijana mtumiaji sheria i juu yake
hata lissu aliongea wee nyangumi mbona wanaachwa..
hivi leo ukishamiri ushirikina watu wanalogwa wanakufa wengine wako hoi kitandani..utawakamata hao waliologwa ili kukomesha uchawi eenh? halafu mnashangilia wee

sasa sikilizeni:
biashara ya dawa za kulevya ilianza tangu enzi za nyerere...na alieianzisha ni kiongozi mkubwa tu ndani ya serikali baada ya kuona inalipa
baadae wengine wakafuatia.
vigogo na watoto wao wanahusika mpaka sasa hivi biashara inaenda.
wana njia mpya..
ukimuona mzee juma shujaa kwa kuweza kuthibiti mitambo pale airport yote hii ni kwa kutafuta sifa kwa wananchi..na wanaonasa pale ni kambale na dagaa..nyangumi wana njia yao mpya na wote wanajua
wanatumia meli za mizigo kubwaa..
meli zikikaribia kutia nanga mzigo unashushwa...mtu mzito akipiiga simu na kutoa oda wote wanaufyata
mzigo unaingizwa kwenye nitumbwi ya uvuvi mpaka ferry
kuna sehemu haifikiw sana na watu imepaki na kuhifadhi mitumbwi chakavu..huko wanashusha mzigo safar inaendelea..
biashara ipo kama kawaida na unga unapatikana kama kawaida..
mnachezewa akili..

roma aliropoka ukweli kupitia post yake mtandaoni yule bwana mwenye makalio makubwa ka anachambia hamira akaamua kumnyamazisha kwa ubaya..
alikua namharibia sinema lake..

wasanii kibao wanawajua hawa nyangumi.
wametumika sana sabb ya tamaa zao
but sharti lao kuu ni moja..
ukimtaja anakupoteza mazima.


USIKUBALI KUCHEZEWA AKILI..

mi naenda kulala..
 
Ile senema ya kuwaita kituoni na kuwakojolesha ilikuwa maalum kwa watu maalum tu. Wengine kuwapunguza makali yao na wengine kuwaondolea upupo kwa matairi ili gari litulie.
Si waona wengine hadi sasa bado wananyonywa jasho lao. Kodi 12.8 billion wadhani mchezo. Zaidi ya bajeti ya wizara! Kweli akiamua kukuchezea cheusi chekundu, hufurukuti
 
Ile senema ya kuwaita kituoni na kuwakojolesha ilikuwa maalum kwa watu maalum tu. Wengine kuwapunguza makali yao na wengine kuwaondolea upupo kwa matairi ili gari litulie.
Si waona wengine hadi sasa bado wananyonywa jasho lao. Kodi 12.8 billion wadhani mchezo. Zaidi ya bajeti ya wizara! Kweli akiamua kukuchezea cheusi chekundu, hufurukuti
leo walokamatwa wako wapi??
kesi zao zinaendelea?
usiulize
wako busy na kipisi cha bangi alivhokutwa nacho wema..
ile list ya watu zaidi ya mia mbili iko wapi?
wako wapi wale watu?
 
Vita ya Madawa ya kulevya Tanzania imeweka record moja matata maana ni vita vya muda mfupi sana na watu wa madawa wamewini... Mashamba ya Bangi yamechomwa sana ila bangi itaendelea tu...

Huko Philippines raisi Durerte hawamtaki tena kashindwa kumuua mwanae Maandamano na fujo kwa wafiwa hali ya inchi yao imekuwa tete.. na waasi wamechamamaa.

Hivi yule James Sianga yupo wapi vile? hivi ni bangi tu pekee ndio inachimwa hadharani tena mbichi lakini heroin mandrax n.k inachomwa mafichoni?
 
nawe unaeamini serikali inapambana na wauza dawa za kulevya ni jinga la majinga.!
hata yule mange nae hawajui..anapewa info na zote zinahusu kambale..nyangumi hawajui.na ili uwaumbue tu hawa watu must uwe mtu wa karibu na system na pia upate ushahidi.
refer to amina chifupa..alipata ubunge na kuwa nao close...akatangaza vita walampoteza kwa kifo cha ghafla!
kuna alietangaza nia ya dhati kupamnana na dawa za kulevya baada ya amina?

leo mkawa mnamshangilia makonda
bila kujua huyu kijana no kibaraka wa walewale
makonda alipewa go on na mzee juma iwe kama kiki..manyangumi wakakutana mkuu wa kaya akatoa wasiwasi mpo salama..msihofu!
wakaanda list ndeefu ya kambale na dagaa ikiwemo hawa mapunda na mateja wanaomwaga udenda mitaani..mnashangilia wee!!
eti vita ya kupambana na madawa unakamata mateja...eti kila mzaz ataekutwa na kijana mtumiaji sheria i juu yake
hata lissu aliongea wee nyangumi mbona wanaachwa..
hivi leo ukishamiri ushirikina watu wanalogwa wanakufa wengine wako hoi kitandani..utawakamata hao waliologwa ili kukomesha uchawi eenh? halafu mnashangilia wee

sasa sikilizeni:
biashara ya dawa za kulevya ilianza tangu enzi za nyerere...na alieianzisha ni kiongozi mkubwa tu ndani ya serikali baada ya kuona inalipa
baadae wengine wakafuatia.
vigogo na watoto wao wanahusika mpaka sasa hivi biashara inaenda.
wana njia mpya..
ukimuona mzee juma shujaa kwa kuweza kuthibiti mitambo pale airport yote hii ni kwa kutafuta sifa kwa wananchi..na wanaonasa pale ni kambale na dagaa..nyangumi wana njia yao mpya na wote wanajua
wanatumia meli za mizigo kubwaa..
meli zikikaribia kutia nanga mzigo unashushwa...mtu mzito akipiiga simu na kutoa oda wote wanaufyata
mzigo unaingizwa kwenye nitumbwi ya uvuvi mpaka ferry
kuna sehemu haifikiw sana na watu imepaki na kuhifadhi mitumbwi chakavu..huko wanashusha mzigo safar inaendelea..
biashara ipo kama kawaida na unga unapatikana kama kawaida..
mnachezewa akili..

roma aliropoka ukweli kupitia post yake mtandaoni yule bwana mwenye makalio makubwa ka anachambia hamira akaamua kumnyamazisha kwa ubaya..
alikua namharibia sinema lake..

wasanii kibao wanawajua hawa nyangumi.
wametumika sana sabb ya tamaa zao
but sharti lao kuu ni moja..
ukimtaja anakupoteza mazima.


USIKUBALI KUCHEZEWA AKILI..

mi naenda kulala..
Umeandika maelezo mengi na hasa ukijikita kwenye kulaumu huku ukionesha hakuna lililofanyika au lililofanyika ni dogo

Ajabu umeshindwa hata kuwataja hao nyangumi iwapo kweli unawajua na angalau kuweka maelezo yao kwa kuanzia. Kwanini tuamini maelezo yako? Nadhani ingependeza ungekuja na uzi unaoonesha ushiriki wa hao unaowahita nyangumi na jinsi ambavyo wameachwa bila kuguswa.

Vinginevyo itaonekana ni majungu ya kutofurahishwa na kazi inayofanyika.
 
56 Reactions
Reply
Back
Top Bottom